Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Afadhali tu mara ya mwisho nimemuona huyu mzee baba jamaa alionekana kachoka balaa, yale mambo ya kipindi kile ya family yalimtibua nyongo akachanganyikiwa asijue asimamie lipi dini ikawa kimbilio,

mi naona sio vibaya mwanaume lazima ufanye kazi uitunze family kwasababu ikifikia kulishwa na kuveshwa na mke hiyo kwa mwanaume rijali ni fedheha kuu, na unyonge. rudi kazini mzee Yusuph bado haujachelewa kuwa mzee afu uwe ombaomba inauma sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi katka izo post zake uko insta anazo weka hashtag ya NATUDIMJINI nadhani hawaja muelewa.Hamaanishi anatudi mjini kufanya haya ma taarabu.Huwenda ni kaswida yenye mashairi hayo.
 
Watu mna maneno? Sasa hapo njaa imetoka wapi wakati mwenzenu kapata mawazo mbadala na kuyafanyia kazi
Angekuwa analipwa vizuri huko angeendelea kubaki huko,tatizo waislam wabahili sana sisi wakristo tunapotoa sadaka wao utasikia wanasema mnaliawa hela na hao matapeli sasa wao mashehe wao wengi choka mbayaa wanarudi kufanya kazi nyingine za din wanaacha au wengine wanalashalasha
 
Alikuwa na maisha magumu Sana , alikuwa anashinda kijiwen anaganga njaa.. Nilikuwa naamini hawez vumilia lile laifu lazima atarudia kwenye muziki .. Hatimae Sasa.


Mara ya mwisho nilimuona chanika akiwa kachoka ile mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Chanika ndo kwake ila kwa usawa huu arudi tu hata ingekua mm ningerudi aisee kwani mungu haoni njaa jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom