Wewe ni Shetani unayemwitia mzee wa watu Jehanam, mwache amuabudu muumba wake aepukane na adhabu kali ya Allah!Hakuna ubishi!
Taarabu imepoa bila uwepo wa Mfalme!
Hakuna ushindani wenye tija,na wala hakuna burudani ya maana!
Kanumba,alikufa akaondoka na Bongo Movie!
Yakabaki mauzauza!
Mzee bado u hai,ebu rudi uokoe jahazi la muziki wetu pendwa!
Naomba!
[emoji23] [emoji23]Yaani aache kwenda mbinguni kwa sababu ya starehe zako?mwehu kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23]