GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakuna ubishi!
Taarabu imepoa bila uwepo wa Mfalme!
Hakuna ushindani wenye tija,na wala hakuna burudani ya maana!
Kanumba,alikufa akaondoka na Bongo Movie!
Yakabaki mauzauza!
Mzee bado u hai,ebu rudi uokoe jahazi la muziki wetu pendwa!
Naomba!
Hakuna ubishi!
Taarabu imepoa bila uwepo wa Mfalme!
Hakuna ushindani wenye tija,na wala hakuna burudani ya maana!
Kanumba,alikufa akaondoka na Bongo Movie!
Yakabaki mauzauza!
Mzee bado u hai,ebu rudi uokoe jahazi la muziki wetu pendwa!
Naomba!
Mwenyewe atakua anatamani kurudi, make kishasema tangu aache kuimba life limekuwa tight, hivi na mkewe malkia leila aliacha???Hakuna ubishi!
Taarabu imepoa bila uwepo wa Mfalme!
Hakuna ushindani wenye tija,na wala hakuna burudani ya maana!
Kanumba,alikufa akaondoka na Bongo Movie!
Yakabaki mauzauza!
Mzee bado u hai,ebu rudi uokoe jahazi la muziki wetu pendwa!
Naomba!
YametimiaaaaaAtarudi soon[emoji23]
We umesikia wapi?Eti alifumua rinda za wanawake kuanzia Mwananyamala mpaka gongolamboto...!
VishawishiMwenyewe atakua anatamani kurudi, make kishasema tangu aache kuimba life limekuwa tight, hivi na mkewe malkia leila aliacha???
Alimkusudia Chiku.GENTAMYCINE huyo "nanliu" ndo nani?
Hao ni vifaranga tu.emmyta nisingemwita kama kijoti na omari kopa wangekuwa hai!
Kama wapi?We umesikia wapi?