Mfalme wa Dubai, Mohammed Maktoum mwaka 2018 alitua na ndege Loliondo na KIA kwa shughuli gani? Kwanini aliambatana na Abdulrahman Kinana?

Mfalme wa Dubai, Mohammed Maktoum mwaka 2018 alitua na ndege Loliondo na KIA kwa shughuli gani? Kwanini aliambatana na Abdulrahman Kinana?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kwa wenye ujuzi wa haya mambo ya madege makubwa tunomba ufafanuzi.

Kwenye hii clip kuna dege kubwa linasemekana lina uwezo wa kutua popote.

Msaada jamani ili tupate ufahamu.

---
Abdulrahman Kinana, akiwa Waziri wa Ulinzi mwaka 1993 alimsindikiza Sheikh Mohammed kama mwakilishi wa serikali ya Tanzania, na mwaka 2018, akiwa Katibu Mkuu wa CCM alirekodiwa akifanya vivyo hivyo kwenye uwanja wa ndege. Ingawa hajawahi kutoa taarifa yoyote kwa umma, Kinana anaripotiwa kuwa mgeni wa mara kwa mara wa wamiliki wa OBC

 
Kwa wenye ujuzi wa haya mambo ya madege makubwa tunomba ufafanuzi.

Kwenye hii clip kuna dege kubwa linasemekana lina uwezo wa kutua popote.

Msaada jamani ili tupate ufahamu.View attachment 2285175
ndege inatua popote kwenye runway inayowiana na uwezo wa ndege

ARTONOV zinatua JK nyerere kitambo tangu ezi za mkapa
miaka yote nilikuwa najua haina uwezo wa kutua pale nimekuja kujua hilo mwaka huu
kuna mi BOING na MiAIBRUS ya maana ya mizigo inatua uwanja wa mwanza tangu miaka ya 90 kubeba samaki

hiyo inaonyesha ni ndege binafsi na ni CUSTOM MADE
ndege ya ABIRIA inaruhusiwa kutua kwenye Viwanja vyenye kukidhi VIGEZO
unless itue kwa dharura
 
ndege inatua popote kwenye runway inayowiana na uwezo wa ndege

ARTONOV zinatua JK nyerere kitambo tangu ezi za mkapa
miaka yote nilikuwa najua haina uwezo wa kutua pale nimekuja kujua hilo mwaka huu
kuna mi BOING na MiAIBRUS ya maana ya mizigo inatua uwanja wa mwanza tangu miaka ya 90 kubeba samaki

hiyo inaonyesha ni ndege binafsi na ni CUSTOM MADE
ndege ya ABIRIA inaruhusiwa kutua kwenye Viwanja vyenye kukidhi VIGEZO
unless itue kwa dharura
Ubarikiwe sana kiongozi maana elimu haina mwisho
 
Back
Top Bottom