Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #41
Unaongea kwa nguvu ya K-vant[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo unakoment kama vile una hela sana!
Sukuma gang wana hela waneweza kukulea wewe, mumeo na wazazi wako wote,
Muangalie Bashiru na Polepole wanafanana na nani kwenye ukoo wenu kwa hela?
Ndio maana kina Mdee na Mbowe wameona bora waungane na ccm kuramba asali maana wafuasi wake akili zenu aliondoka nazo Lisu