BlackPanther JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 9,185 Reaction score 8,715 Dec 13, 2018 #1 Ndege hiyo pia imeongezewa nakshi ambapo kwenye ngazi za kuingilia ndani kuna jiko lake (Leo), mke wake (Antonella) na watoto wake watatu (Thiago,Ciro na Mateo) Thamani ya ndege hiyo ni pound milioni 34 ambazo ni zaidi ya bilioni 34 za kitanzania.
Ndege hiyo pia imeongezewa nakshi ambapo kwenye ngazi za kuingilia ndani kuna jiko lake (Leo), mke wake (Antonella) na watoto wake watatu (Thiago,Ciro na Mateo) Thamani ya ndege hiyo ni pound milioni 34 ambazo ni zaidi ya bilioni 34 za kitanzania.
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,767 Dec 13, 2018 #3 kidogo kidogo anaanza kuacha ubahiri
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Dec 13, 2018 #4 Mfalme wa dunia?
N Ndakilawe JF-Expert Member Joined Jul 6, 2011 Posts 4,815 Reaction score 2,825 Dec 13, 2018 #5 G.O.A.T .. !
varangati JF-Expert Member Joined Feb 14, 2017 Posts 1,726 Reaction score 1,628 Dec 13, 2018 #6 mjingamimi said: Mfalme wa dunia? Click to expand... Anamatatizo huyo kasema. Mfalme2 hajamalizia si tumueleweje...
mjingamimi said: Mfalme wa dunia? Click to expand... Anamatatizo huyo kasema. Mfalme2 hajamalizia si tumueleweje...
stephot JF-Expert Member Joined Mar 1, 2012 Posts 17,216 Reaction score 26,225 Dec 13, 2018 #7 Haikuja kwa kukaa,ni kwa kuhangaika kwa kuvuja jasho..
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Dec 13, 2018 #8 King Messi
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,553 Dec 14, 2018 #9 Binadamu wachache ndio wanaoishi tulio wengi tunasindikiza tu !
DesertStorm JF-Expert Member Joined Nov 22, 2015 Posts 3,131 Reaction score 2,537 Dec 14, 2018 #10 King Leo mchezaji bora kuwahi kutokea
Chillah JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 8,870 Reaction score 10,066 Dec 14, 2018 #11 naona amepamba jiko lake Leo...
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,553 Dec 14, 2018 #12 La pulga
Kim Jong Jr JF-Expert Member Joined Mar 15, 2014 Posts 11,074 Reaction score 20,608 Dec 14, 2018 #13 Source : Milard ayo Nashukuru.
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,695 Reaction score 20,633 Dec 15, 2018 #14 Noma sana
kidadari JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 8,647 Reaction score 9,604 Dec 15, 2018 #15 Pound mil 34 ni sawa na Tsh Bilion 34??
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,654 Dec 15, 2018 #16 Lapuruga/one and only
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,654 Dec 15, 2018 #17 Kwenye soka toka dunia iumbwe mjingamimi said: Mfalme wa dunia? Click to expand...