BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ndege hiyo pia imeongezewa nakshi ambapo kwenye ngazi za kuingilia ndani kuna jiko lake (Leo), mke wake (Antonella) na watoto wake watatu (Thiago,Ciro na Mateo) Thamani ya ndege hiyo ni pound milioni 34 ambazo ni zaidi ya bilioni 34 za kitanzania.