Mfalme wa Dunia Lionel Messi ameripotiwa kununua Private Jet mpya.

Mfalme wa Dunia Lionel Messi ameripotiwa kununua Private Jet mpya.

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
Screenshot_20181213-154905_Instagram.jpg


Ndege hiyo pia imeongezewa nakshi ambapo kwenye ngazi za kuingilia ndani kuna jiko lake (Leo), mke wake (Antonella) na watoto wake watatu (Thiago,Ciro na Mateo) Thamani ya ndege hiyo ni pound milioni 34 ambazo ni zaidi ya bilioni 34 za kitanzania.
 
kidogo kidogo anaanza kuacha ubahiri
 
Haikuja kwa kukaa,ni kwa kuhangaika kwa kuvuja jasho..
 
Back
Top Bottom