Mfalme wa Jordan amwambia Trump yuko tayari kuchukua Wakimbizi 2000 wa Palestine, Tanzania tuchangamkie fursa hiyo Ili kukuza Urafiki na Marekani!

Tanzania wachukue wapalestina ila wa kike tu wenye umri kati ya 18yrs na 25. Waje wawamwage uswahilini.

Tumechoka kunusa uvundo we weaving na mawig. At least na sisi tufeel ladha halisi ya nywele ya singa.
Kweli uvundo wao umezidi. Unaonaje wanaume wa TZ tuanze campaign kabambe ya kuwavua hayo mawigi na weaving hadharani.
 
Wasudan mmeishawarudisha kwao? Wapalestina ni marafiki zetu wakija hapa si wakimbizi bali Ndugu.
Waislamu ni watu hatari sana kwenye huu ulimwengu na hautakiwi ucheke nao. Wakiwa wengi tu, migogoro, machafuko na kulazimisha watu wawe kama wao huanza.
Hapa Tanganyika nakula kitimoto muda na wakati wowote, hao watu wakiwa wengi ndiyo yale ya Lebanon na Turkey
Upo zako kwenye mgahawana unakula, unashangaa mashekh na makanzu yao wamebea mafimbo, mawe na mapanga wanataka wakupige kisa unakula kipindi cha ramadhani
 
Issue ya Wapalestina ukioa kwao wanaweza kukupa zamu ya kuwachokoza Israel
 
Tanzania wachukue wapalestina ila wa kike tu wenye umri kati ya 18yrs na 25. Waje wawamwage uswahilini.

Tumechoka kunusa uvundo we weaving na mawig. At least na sisi tufeel ladha halisi ya nywele ya singa.
😀😀😀😀I wonder
 
Shida yao wataanzisha harakati hapa baada miaka 30 hadi 50 huko wataunda chama siasa....kuanza kudai haki......kama raia na kutaka kumiliki ardhi na rasilimaliii
 
Sasa USA si ndo kiongozi wa NATO?
 
Tanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine

Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine

Ahsanteni 🐼
Kujenga matundu ya choo mmeshindwa mashuleni, mnataka mjioe mzigo mkubwa zaidi?
 
Sasa USA si ndo kiongozi wa NATO?
OTher nato members wana wajibu wa kulinda mikataba yao ya kulindana, especially kichaa kama trump anapotishia usalama wa mmoja wao, wewe umeona wapi raisi anaamka tu anasema niuzie nchi yako huyo si threat kwa dunia nzima? Fikiria kamwambia ukraine kwba baadhi ya maeneo yake itabidi akabidhi kwa russia, na ukraine haitajiunga nato tena, sasa angalia watu wangapi wamepoteza maisha yao ukraine halafu wamepoteza walichokuwa wanakipigania
 
Hao wa vaa kobabazi ukiwakaribisha umeharivu nchi
Exactly yes. Mjerumani alijichangaya eti ana huruma/ni ubinadamu akawapokea na kuwahifadhi. Majuzi kati hapo ikala kwake.
 
Jordan ndio chimbuko kuu la Palestine Jordan alikuwa akimiliki Jerusalem na ule Msikiti maarufu.Nchi nyingine ni Misri kuna historia ndefu sana.
Bila kusahau Syria.
Historia ya Middle East inaenda kitambo sana.
Lakini wanaamishwa Gaza ili iweje?


Genocide ama ethnic cleansing?

"Wahalifu wawili, wanaenda kuonyesha umahirk wao wa kihalifu" 👈sio maneno yangu, ila wanahamishwa kwa sababu za kishetani.
 
Historia ya Middle East inaenda kitambo sana.



Genocide ama ethnic cleansing?

"Wahalifu wawili, wanaenda kuonyesha umahirk wao wa kihalifu" 👈sio maneno yangu, ila wanahamishwa kwa sababu za kishetani.
Na unaweza kukuta wale wanaohamishwa sio kwa hiari / ridhaa yao i.e. wanaswagwa tuu. Hii sio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…