Mfalme wa Jordan amwambia Trump yuko tayari kuchukua Wakimbizi 2000 wa Palestine, Tanzania tuchangamkie fursa hiyo Ili kukuza Urafiki na Marekani!

Mfalme wa Jordan amwambia Trump yuko tayari kuchukua Wakimbizi 2000 wa Palestine, Tanzania tuchangamkie fursa hiyo Ili kukuza Urafiki na Marekani!

Tatizo wale watu ni udini, Tanzania haidekezi mambo ya udini na ukabila. Wakija wasahau udini na upalestina wao na wachanganyikane na raia wenyeji waishi bila kufanya harakati za kuvuruga taifa letu na pia waachane na chuki kwa Israel
 
Tanazania wachukue wapalestina ila wa kike tu wenye umri kati ya 18yrs na 25. Waje wawamwage uswahilini.

Tumechoka kunusa uvundo we weaving na mawig. At least na sisi tufeel ladha halisi ya nywele ya singa.
Aisee nimecheka sana sijui labda nipo ganja!

Kwahyo watoto 2000 wamechukuliwa..
na sisi tuchukue madem wa palestina
sasa masela wataenda wapi?!
 
Back
Top Bottom