Mfalme wa Mwisho wa Zanzibar Jamshid atua Oman kwa mara ya kwanza

hadithi zinasema mohammad kamuingilia mtoto akiwa ana miaka 9 wewe unapinga.sasa nikusikilize wewe au nisikilize hadith.
 
Yale ya Vatican yametokana na waislamu walio amua kuacha Uislamu, na kuwa wakristo, walikuwa wanakili kuwa walizoea huo mchezo, But mapadre walifunga nakuwaombea, na wakatubu kwa Mungu wetu,anayejua kusamehe na

akawasamehe kitambo, ajabu wewe unawahukumu upya!!!. wewe pia inabidi tukuongoze sala ya toba ili upone, kwa kuwahukumu hao watu wa Mungu. Amiii... tamka ''baba etu wa mbinguni....

Ukikataa utakumbushwa, Haya maandishi yatakusuta siku ya Kiama,
 
Ficha ujinga wako.
Ndiyo Babu yako huyu muarabu alisemaga ivo ivo! Okello kampiga na marungu tu wakati akiwa na siraha kedekede. hivi Bara itoke Zanzibr mtaweza kujitawala? si mtamalizana nyie visirani?
 
Ami,.... mungu wenu muoga kashindwa , pale anatamba Mungu wa Vatican mkuu!!! Waarabu wamedhurumu sana nafsi hai Duniani. .. sasa ile damu ilomwagika inawarudi hkn namna. tubuni kwa mola wenu... wenzenu walitubu!!! mbona rahisi tu?..

sasa mmechanganyikiwa kila sehemu Africa mnadai ni yenu! sasa Oman na zanzibar ziko mbalimbali. eti mwanaitaka!!! TZ mnatamani kipigo mpaka mfe, tutatumia visu tu, nendeni mkadai nchi yenu u giriki?
 
Akili zako haziko sawa.Unaropoka kama uliyeshiba bangi.
 
Akili zako haziko sawa.Unaropoka kama uliyeshiba bangi.
Mkuu sivuti bangi japo nilijaribu miaka flani hivi, nikaona Bure kabisa, km watu wanajifanyisha tu, walahi!!! ule moshi hauna kitu, sawa na moshi wa kuni tu, wewe unashiba bangi mkuu?
 
Mwarabu alimfanya mtu mweusi mtumwa kabla hata ya mzungu.nenda usome Historia vizuri mkuu
 
Akili zako haziko sawa.Unaropoka kama uliyeshiba bangi.
Maalimu Amii!!? Naomba nikuulize swali moja tu, ila usijilipue, Useme ukweli wako wa Moyoni....

Muungano mwautakaa? au Mwaukataa?

Basi Inshalaaa!!!

Bara twawapendeni Shekhee! Mtaweza kujitawala, kujenga uchumi wa Zanzibar km ulivo mzuri sasa? au mwatutakeni lawama?????

Acha hasira Njoo Bara ule Bata uboreke! unachelewa! acha kushindia porojo Mapembeani, Darajani, Mji wa kale pale hkn kitu!
Ukibeba vijini 3 tu, Bongo hakuna wa kukugusa!
 
Mwarabu alimfanya mtu mweusi mtumwa kabla hata ya mzungu.nenda usome Historia vizuri mkuu
Hiyo historia unayosoma wewe iko wapi?.Wazungu wakristo ndio waliofanya hii biashara hasa.Tena walitumia jina la Yesu kwa ukosefu wa heshima wao.Naamini hujasoma historia ya ile meli ya kubeba watumwa kule Uiengereza ilyopewa jina hilo na matajiri wake wakapewa nishani na mfalme kwa kupata faida nzuri. Kutokana na ukubwa wa biashara hiyo ndiyo maana watu weusi kutoka Afrika wamejaa Marekani na maeneo ya Carribean walikolimishwa mashamba ya miwa na viboko juu.
Lakini haishangazi ndivyo mlivyo nyinyi uovu wenu maugeza wa watu wengine hasa waislamu.Eti mnawadondoshea watu mabomu kwenye madrasa na harusini halafu mnasema mnapambana na magaidi.
 
Unajua kwamba mtume Muhammad alikuwa na mtumwa mweusi nyumbani kwake ? Mkuu naijua vyema sana Historia
 
Unajua kwamba mtume Muhammad alikuwa na mtumwa mweusi nyumbani kwake ? Mkuu naijua vyema sana Historia
Huyo anaitwa Bilal bin Rabah alitokea Uhabeshi na ni miongoni mwa watu wenye heshima kubwa sana katika uislamu.Huyu alikuwa mtu wa karibu sana wa Mtume Muhammad s.a.w na baadae aliozeshwa mwanamke mrembo sana katika ukoo wa Mtume.Hakuishi kama mtumwa mfano wa vile walivyofanyiwa mababu wa wamarekani weusi.
Alikuwa na sauti nzuri sana ya kuadhini na ndiye aliyeadhini kuwaita waarabu wote na waislamu kwa ujumla kuja kuswali msikitini. Angekuwa ni mtumwa kwa maana hiyo unayoijuwa wewe wala asingekuwa na heshima hiyo.
 
Mwarabu alimfanya mtu mweusi mtumwa kabla hata ya mzungu.nenda usome Historia vizuri mkuu
Unazungumzia historia iliyojaa chuki iliyoandikwa na wazungu katika kujikosha kwao na kuwapakazia waislamu na waarabu uovu.
Lakini kwa sababu wazungu hii biashara ya utumwa ni yao na imo mioyoni mwao na wanawadharau sana watu weusi basi hawajaacha mpaka hii leo tunavyozungumza.
Tatizo watu weusi wenyewe hasa wa huku kwetu hawana macho na akili za kuona kwa vile tu anayefanya ni mzungu wanayemuabudu na kasumba kuhusu waarabu zimewaingia sawa sawa kwenye akili zao.
Angalia hapo chini mtu mweusi anavyoburuzwa kwa kamba pamoja na mbwa kwenye jimbo la Texas nchini Marekani.Jina la ndugu yetu ni Donald Neely mwenye umri wa miaka 44 na imetokea juzi tu.
 
Hapa ndipo umuhimu wa Idd amin unaonekana
 
Unazungumzia historia iliyojaa chuki iliyoandikwa na wazungu katika kujikosha kwao na kuwapakazia waislamu na waarabu uovu.
Ami, umesema uzuri sana hapa Shekhe!!!, hao wanao jiita Waarabu leo, ni Wazungu walewale Damudamu walizaliwa na wanawake wa kitumwa waliobakwa na hao hao Wazungu kwenye kambi za wanawake watumwa weusi maarufu kama Harem, (rejea kwenye Dictionary yako hili neno limo mpaka leo!) asili ya waarabu ni Ulaya Kusini kama Ugiriki, Macedonia, Rome. hawakurudi, But walijitenga wakaanzisha Jumuia Ya kiarabu.

Waarabu ni vitukuu vya Wazungu, ndiyo maana waliingia Mashariki ya kati Kiubabe, mpaka leo wanajua pale siyo asili yenu! km ni Historia imeandikwa na babu zenu Wazungu. Arabs ni jamii ya watu iliyoundwa Kisiasa! hawana tofauti na Mpemba, Machotara wa Shinyanga. Ubaguzi umo tuuu. Mulattoes ndiyo hasa jina lenu, mtume wa kweli hakuwa muarabu wala mzungu, alikuwa mweusi tiii km jaluo
 
Mbona Kuna mahojiano Mimi ninayo,na anamshukuru Nyerere kwa kumpokea? Alipoulizwa kuhusu kifo cha Karume anasema alijisikia nafuu kwamba Sasa the tyrany is gone.Anasema if my people want me back I will go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…