Mfalme wa Mwisho wa Zanzibar Jamshid atua Oman kwa mara ya kwanza

Mapinduzi yalipangwa Dar,waingereza walimpa Nyerere kazi maalum na ndo maana alimpokea na Uingereza ikamhifadhi.Karume yeye alikuwa hajui lolote hata Babu.Mpango ulikuwa Ni kulinda maslahi ya mabeberu na kanisa.
 
Zanzibar watake wasitake tushaungana na hakuna kuvunja muungano zaidi zanzibar tuifanye iwe mkoa ili tuwe nchi moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…