balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mapinduzi yalipangwa Dar,waingereza walimpa Nyerere kazi maalum na ndo maana alimpokea na Uingereza ikamhifadhi.Karume yeye alikuwa hajui lolote hata Babu.Mpango ulikuwa Ni kulinda maslahi ya mabeberu na kanisa.Ingia google,"Zanzibar revolution wikipedia" utatokwa machozi sheikh, waomani/waislamu walivyouawa dhidi ya hao makafiri ambao wengiwao hatukonao tena, wanamme na wakina mama wameuawa kinyama, na wengine wajawazito [emoji26][emoji26] very sad. Okello, Nyrr na Karume walidhani wataishi milele.
Kama zilivyojaa mikononi mwa Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5Jamaaa damu za watanzania zinamloilia zimejaa mikononi mwake
Mjinga ni wewe uliedandia historia kwa mbele ...Ngoja nikuache na ujinga wako
Utakuwa masalia ya slave traders,pumbavu zako,jifunze kula kitimoto uwe na akiliMjinga ni wewe uliedandia historia kwa mbele ...
Ni kwelk babu zako waliuzwa na wajomba zao kwa tamaa zao upo hapo?
Hussein Sio mzanzibar ni pandikizi.Huyu mfalme anao uzanzibar zaidi ya Hussein!Yupi huyo mkuu..Seif au Hussein?
Jamaaa damu za watanzania zinamloilia zimejaa mikononi mwake