Mfamasia wa kike nipo Mwanza, natafuta kazi

Mfamasia wa kike nipo Mwanza, natafuta kazi

Wee ni pharmacist ama pharmaceutical technician? Cheti chako kimendikwaje. Fafanua tafadhali.
 
Kajieleza ana diploma,,,,yeye ni fundi dawa sanifu aka pharmtech
 
Mbona ID yako ya kiume au una ID zaidi ya moja we ni mwanamme unakuja kutuchora tu.Kitu kingine,kwa nini umetaja jinsia yako kwenye kutafuta kazi kwani umeambiwa anaajiliwa mke wa ndani? Kuna walakini sana kwenye hili tangazo lako.Asante
 
Mbona ID yako ya kiume au una ID zaidi ya moja we ni mwanamme unakuja kutuchora tu.Kitu kingine,kwa nini umetaja jinsia yako kwenye kutafuta kazi kwani umeambiwa anaajiliwa mke wa ndani? Kuna walakini sana kwenye hili tangazo lako.Asante
Walakini upo kwako.
Jua maduka mengi ya dawa yanaongozwa kuuzwa na wanawake.
Kwanini mnakurupuka nyie
 
Back
Top Bottom