Mfananishe member wa JF na mnyama unaempenda au usiyempenda na utoe sababu

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Wakuu,

Km heading inavyojieleza. Ndo umepata chance ya kumfananisha member wa jf na mnyama unaempenda au usiyempenda.. Utamfananisha nani? Na kwanini?

Kwa upande wangu, mimi namfananisha Hajar na kondoo. Kondoo ni mnyama ninaempenda sana maana ni mpole na mtaratibu sana.. Hajar naona naye ni mpole na mtaratibu na sikuwahi ona hata siku moja ametoa kauli mbaya humu yenye kuleta offense au disappointment kwa mtu. Nampenda sana hajar sawa na nimpendavyo kondoo

Vipi kwa upande wako?
 
Nadhani Mshana anafanana na Kiboko.

NB: Tusitafutane usiku Mkuu samahani sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa tunguli anaweza kuibuka usiku na ungo.... Hatari sana

Ila kwann hujatoa sababu ya yeye kufanana na kiboko mkuu?
 
UTAFANANISHAJE ID/AVATAR FEKI NA WANYAMA AISEE??
Mkuu, wewe huna wa kumfananisha?

Usiangalie avatar... Angalia hata comments na nyuzi zake sana sana zipoje hapo unaeza fananisha...

Alafu ulikua umepotea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…