Mfananishe member wa JF na mnyama unaempenda au usiyempenda na utoe sababu

Mfananishe member wa JF na mnyama unaempenda au usiyempenda na utoe sababu

Kwa mimi ambaye huwa nachunga ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda.

Ukiwa umewaswaga halafu umechanganya na mifugo ya jirani ikifika kipindi cha kuwatenganisha kila mmoja achukue mifugo yake inapofika njia ya kuelekea nyumbani, kondoo kwa sababu anainamisha kichwa chini anajikuta kaachwa kaenda na mifugo ya jirani na inatokea muda huo wewe umesahau kama kuna kondoo kanogewa na msafara[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakapofika nyumbani ukianza kukagua unakuta kondoo hayupo ukija kushtuka unakuta umemuacha kwenye mifugo ya jirani wakati wa kuachana.

Kondoo ana akili zake ambazo ni za kipekee kabisa..
Kwahiyo Hajar kafanana na hili limjamaa??

upload_2018-5-14_21-49-57.jpeg
 
Kuna member mmoja humu naona jina lake mnasitasita kulitaja, na atakaelitaja naona atajuta kuzaliwa, labda mumuelize anapenda kufananishwa na mnyama gani. Member mwenyewe ni huyu hapa "enicymatneg" mimi simo.
 
Back
Top Bottom