Mfanano wa kosa la aliyekuwa RC Simiyu, DED Mafia na aliyekuwa DC Hai, Haki itatendeka au kombe litafunikwa wanaharamu wapite?

Mfanano wa kosa la aliyekuwa RC Simiyu, DED Mafia na aliyekuwa DC Hai, Haki itatendeka au kombe litafunikwa wanaharamu wapite?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Viongozi wawili yani RC na DED makosa yao yanafanana kabisa. Miezi mitatu imepita sasa tangu DED Mafia kutuhumiwa. Hatua hazijachukuliwa mpaka leo zaidi ya kutumbuliwa.

RC jana katumbuliwa, ndiyo imeisha? Aliyekuwa DC Hai alihukumiwa kwa unyang'anyi na inadaiwa alikata Rufaa na anatumikia kifungo cha nje japo kuna utata juu ya hili.

Kwanini matukio haya kwa viongozi wetu tena mmoja msomi PhD?

===

Pia soma:

- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
 
Viongozi wawili yani RC na DED makosa yao yanafanana kabisa. Miezi mitatu imepita sasa tangu DED Mafia kutuhumiwa. Hatua hazijachukuliwa mpaka leo zaidi ya kutumbuliwa.

RC jana katumbuliwa, ndiyo imeisha? Aliyekuwa DC Hai alihukumiwa kwa unyang'anyi na inadaiwa alikata Rufaa na anatumikia kifungo cha nje japo kuna utata juu ya hili.

Kwanini matukio haya kwa viongozi wetu tena mmoja msomi PhD?
hawaezi kumtia hatiana itakuwa kama ya Gekul
 
Viongozi wawili yani RC na DED makosa yao yanafanana kabisa. Miezi mitatu imepita sasa tangu DED Mafia kutuhumiwa. Hatua hazijachukuliwa mpaka leo zaidi ya kutumbuliwa.

RC jana katumbuliwa, ndiyo imeisha? Aliyekuwa DC Hai alihukumiwa kwa unyang'anyi na inadaiwa alikata Rufaa na anatumikia kifungo cha nje japo kuna utata juu ya hili.

Kwanini matukio haya kwa viongozi wetu tena mmoja msomi PhD?

===

Pia soma:

- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Nchi ya hovyo sana hii!
 
huyu ameaibisha sana hata uislam, mtu na signo vile halafu analawiti? huwa anaswali nini sasa? kama kuswali kwao huwa wanaswali kwa Mungu anayebadilisha moyo.
 
huyu ameaibisha sana hata uislam, mtu na signo vile halafu analawiti? huwa anaswali nini sasa? kama kuswali kwao huwa wanaswali kwa Mungu anayebadilisha moyo.
Bado anatuhumiwa, kutumbuliwa ni wajibu ili kurahisisha uchunguzi.
Ingawa kuna "tetesi" kwamba alitengemezewa zengwe kwasababu alionekana kwenda ama kujipanga kugombea ubunge kwenye jimbo la mbunge ambae ni mke wa mkuu wa mkoa maarufu huko kanda ya ziwa.
Basi tusubiri mahakama ithibitishe tuhuma kwanza.
Ingawa inaonekana binti alie husika kama ameomba kuto kuendelea na kesi.
Na pia gazeti lililo muandika x RC, nikama liliandika one side story pasipo kumsikiliza mtuhumiwa.
On top of that, inaonekana manjagu walishinikizwa kutoa barua ambayo ni "confidential" ili kuiaminisha jamii kwamba x RC alitenda kosa.
Lakini pia inasemekana, binti alienda kuripoti polisi lile tukio two days baadae toka siku "inayosemekana" alipo najisiwa na x RC.
Anyways........
Sitetei uhalifu, lakini nina maswali mengi bado najiuliza.
 
Back
Top Bottom