Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
msichojua hizi ni siasa mambo hayapo hivo yanavoonekana!Viongozi wawili yani RC na DED makosa yao yanafanana kabisa. Miezi mitatu imepita sasa tangu DED Mafia kutuhumiwa. Hatua hazijachukuliwa mpaka leo zaidi ya kutumbuliwa.
RC jana katumbuliwa, ndiyo imeisha? Aliyekuwa DC Hai alihukumiwa kwa unyang'anyi na inadaiwa alikata Rufaa na anatumikia kifungo cha nje japo kuna utata juu ya hili.
Kwanini matukio haya kwa viongozi wetu tena mmoja msomi PhD?
===
Pia soma:
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
imqjin mtu anasema amebakwa mkund…. tena kwene gar?? iliyokua public space??
Kwq mnaojua anatomy ya kijambio is that so easy au alitoa ushirikiano ili ushaidi ukamilike