Mfanano wa kosa la aliyekuwa RC Simiyu, DED Mafia na aliyekuwa DC Hai, Haki itatendeka au kombe litafunikwa wanaharamu wapite?

msichojua hizi ni siasa mambo hayapo hivo yanavoonekana!

imqjin mtu anasema amebakwa mkund…. tena kwene gar?? iliyokua public space??

Kwq mnaojua anatomy ya kijambio is that so easy au alitoa ushirikiano ili ushaidi ukamilike
 
umeona eeeh kuna watu wanakurupukaga bila kutumia akili
 
Hizi tabia wanazitoa wapi hawa viongozi
 
Unamfahamu huyu RC?
 
Sabaya mtoe hapo,
 
It's not a matter of knowing him, this is a matter of understanding...
Unamtetea, huyu alikuwa anatembea na wanafunzi wa kike Lulumba secondary alipokuwa DC Iramba. Ni mchafu kwa ujumla. Anaomba vipindi akafundishe huku akiwinda watoto shuleni. Nisiongee mengi, niishie hapa tu!!!!
 
Ukitaka kufahamu polisi wapo active raia fanya tukio linalofanana na hayo
Ni hivi hata RAIA ukafanya kosa polisi hana shida ...
Tanguliza rupia na usijifanye mjuaji , kesi inaisha ...
Watu wakipiga kelele labda ikafika Mahakamani ..unapenyeza Rupia kwa DPP ...baasi , kesi inaweza kwenda polepole mpaka ikapotelea humo kwenye korido
 
Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…