Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penati hapo itahusikaJe sare ya bila goli yaani 0-0, kutakuwa mikwaju ya penalti? Nielekeze hapo
Karuhusu goli la ugeniniKwanini atoke....
Okey....Karuhusu goli la ugenini
mimi sipo pande yoyote. issue Feisal has a chance to go far.Nyie mchezaji akihama yanga ndio mnaona anastahili kwenda nje, mlianza kwa Ajibu Sasa Feisali
Mruhusuni Mzize kwanza Kama mnatamani wachezaji waende nje.
hili tunajua. kwa mfanoHAIWEZI KUTOKEA KUTOLEWA
ile mechi amna kitu. amna kipyaHivi mbona mechi kubwa ya Mabingwa inayofanyika Zanzibar haizungumziwi?
matokeo yakiwa 1-1 simba katokaMarudio kwa Mkapa watatoka droo ya 1-1 tu. Halafu kwenye penalty simba atashinda penalty 3-2 na kuingia makundi labda kama CAF bado wanahesabu mabao ya ugenini
Sawa Mchome naona umeanza tena..UONGOZI WA MO NI WA HOVYO SANA.
TIMU INASHINDWA KUSAJILI WACHEZAJI WA MAANA TOP INASAJILI WACHEZAJI DARAJA LA NNE NA TANO.
HOW COME UNASHINDWA KUSAJILI
1. Mayele.
2. Feisal.
3. Mabululu.
4. Mpanzu.
5. Kapumbu.
6. Dube
Unaya ubwege una
Mpoteza chama
Unasajili
Ayoub, nouma, okejepha, Ngoma,Ohua.
Hawa wote wameshindwa.
Mfano wewe ukifinywa na wachawi utakuja kusema humu jamii forumsWanasimba wenzangu kwema, few days to go. kabla ya mechi yetu na Al ahly Tripoli. timu yetu tunaijua wazee.
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila 😂.
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??
View attachment 3099780
Yani ndo ujue haina mvuto...Hivi mbona mechi kubwa ya Mabingwa inayofanyika Zanzibar haizungumziwi?
Sasa hizi ni assumptions tuMfano wewe ukifinywa na wachawi utakuja kusema humu jamii forums
Wanakua wame concede goal nyumbani sema sijajua kama away goal ina apply shirikishoKwanini atoke....
Kwahyo tungepata sisi goli kule?.Wanakua wame concede goal nyumbani sema sijajua kama away goal ina apply shirikisho
Huku bila bila bila ingetubebaKwahyo tungepata sisi goli kule?.
Okey..nimeelewa...Huku bila bila bila ingetubeba
Kwa game ya Libya nimekata tamaa na timu yangu.Walikuwa wazito kucheza counter wanakimbia kwa mbio za Chama!Wanasimba wenzangu kwema, few days to go. kabla ya mechi yetu na Al ahly Tripoli. timu yetu tunaijua wazee.
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila [emoji23].
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??
View attachment 3099780
give them hopes. simba timu kubwa sana.Kwa game ya Libya nimekata tamaa na timu yangu.Walikuwa wazito kucheza counter wanakimbia kwa mbio za Chama!
Kama wachezaji hawawezi kukimbia unatarajia nini?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
HUYO MPANZU ULAYA ANACHEZA TIMU GANI KAMA KAFELI KATIMU KAMA GENK? HUYO MPANZU SASA HIVI HANA TIMU HANA MSHAHARA ANA PUMBU TU SAMATA ALISAJILIWA MOJA KWA MOJA HAKUFANYIWA HATA MAJARIBIO COZ ALIFANYA VIZURI KWANZA AFRIKA.Feisal akija simba itakuwa failure, akatae sundowns aje simba,
Mpanzu atawasumbua sana simba, akili yake ipo ulaya, in short simba needs players ambao wanataka kuja simba