Mfano wa ballot paper ya Marekani Je, kuna chochote cha kujifunza

Mfano wa ballot paper ya Marekani Je, kuna chochote cha kujifunza

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa.

Mbali na wagombea wa urais kuwa nane, wagombea wanaofahamika na watu wengi ni wawili ambao ni Donald Trump na Kamala Harris. Wakati watu wanasubiria kwa hamu tukio hilo wengine wameshapiga kura ambao wamepiga kura kwa njia ya "Posta".

Katika pitapita zangu mtandaoni nimepata ballot paper ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini naona kuna tofauti kubwa ya uchaguzi wa Marekani na watanzania.

Mathalani uchaguzi wa Marekani hauishii kwenye urais tu bali na vitu vingine.

Hii ballot paper ya hapa ni specific kwa jiji la Lansing lililopo kaunti ya Igham jimbo la Michigan.

Je kuna la kujifunza hapo?
Screenshot 2024-11-04 at 20-26-25 2024 Ballot Edited.pdf.png

Screenshot 2024-11-04 at 20-26-43 2024 Ballot Edited.pdf.png

Screenshot 2024-11-04 at 20-26-54 2024 Ballot Edited.pdf.png

Screenshot 2024-11-04 at 20-27-02 2024 Ballot Edited.pdf.png
 
Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa.

Mbali na wagombea wa urais kuwa nane, wagombea wanaofahamika na watu wengi ni wawili ambao ni Donald Trump na Kamala Harris. Wakati watu wanasubiria kwa hamu tukio hilo wengine wameshapiga kura ambao wamepiga kura kwa njia ya "Posta".

Katika pitapita zangu mtandaoni nimepata ballot paper ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini naona kuna tofauti kubwa ya uchaguzi wa Marekani na watanzania.

Mathalani uchaguzi wa Marekani hauishii kwenye urais tu bali na vitu vingine.

Hii ballot paper ya hapa ni specific kwa jiji la Lansing lililopo kaunti ya Igham jimbo la Michigan.

Je kuna la kujifunza hapo?
View attachment 3143788View attachment 3143789View attachment 3143790View attachment 3143791
too complex to make sense of it! tueleze kidogo what can be established from those pictures. THANKS IN ADVANCE
 
too complex to make sense of it! tueleze kidogo what can be established from those pictures. THANKS IN ADVANCE
Mimi mwenyewe sielewi mkuu,

Nimeshare tu, muone kura yao ni zaidi ya urais, ni hadi masuala ya kodi nk
 
Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa.

Mbali na wagombea wa urais kuwa nane, wagombea wanaofahamika na watu wengi ni wawili ambao ni Donald Trump na Kamala Harris. Wakati watu wanasubiria kwa hamu tukio hilo wengine wameshapiga kura ambao wamepiga kura kwa njia ya "Posta".

Katika pitapita zangu mtandaoni nimepata ballot paper ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini naona kuna tofauti kubwa ya uchaguzi wa Marekani na watanzania.

Mathalani uchaguzi wa Marekani hauishii kwenye urais tu bali na vitu vingine.

Hii ballot paper ya hapa ni specific kwa jiji la Lansing lililopo kaunti ya Igham jimbo la Michigan.

Je kuna la kujifunza hapo?
View attachment 3143791
View attachment 3143790
View attachment 3143789
View attachment 3143788
Hakuna cha jujifunza, kwa maana hata ukijifunza hiyo elimu haitatumika Tanzania, (the knowledge will not be applicable).

Tanzania kuna wataalamu wa kujizima data, tuseme, kuahirisha kufikiri kizalendo, hiyo mifumo watanzania wanajua kuitengeneza, lakini haina matumizi
 
Niende Kupiga Kura au Kusoma Gazeti?
Huo muda mie hata Sina
Mlolongo woote huo wa Nn?
Pia Sio kila Wakifanyacho Marekan Basi ndio Bora Kila Kitu tuige
Huo ni Utumwa tu Yaani Mmeshaona Wao ni Miungu watu
Is why wanaopiga kura ni wamarekani? Why sababu jamii ya huko haioni shida na si wavivu kusoma, jamii inayotaka kuelewwa kabla haijachukua hatua. Tofauti na jamii yetu ambayo bado asilimia kubwa hata kusoma na kuandika bado ni tatizo na bado uelewa ni mzito.
So yes mambo ya huko mengi ukileta huku hayatofanikiwa sababu jamii mbili tofauti zenye IQ na culture tofauti
 
Hakuna cha jujifunza, kwa maana hata ukijifunza hiyo elimu haitatumika Tanzania, (the knowledge will not be applicable).

Tanzania kuna wataalamu wa kujizima data, tuseme, kuahirisha kufikiri kizalendo, hiyo mifumo watanzania wanajua kuitengeneza, lakinu haina matumizi
Umeona kuwa wananchi wanapigia kura hadi majaji wa mahakama zao? Hujaona wananchi wanapigia kura mapendekezo ya mabadiliko ya kodi kwenye kaunti zao? Au haujasoma hiyo ballot kwa kutulia?
 
Bongo ukiweka kama hizo paper umevuruga kila kitu nusu ya wataopiga kura hawajasoma wamezoea kuweka tiki tu kwenye picha..
Kuna mapendekezo ya kodi pale lazima usome kabla haujakubaliana na serikali kama watoze kodi husika au la
 
Is why wanaopiga kura ni wamarekani? Why sababu jamii ya huko haioni shida na si wavivu kusoma, jamii inayotaka kuelewwa kabla haijachukua hatua. Tofauti na jamii yetu ambayo bado asilimia kubwa hata kusoma na kuandika bado ni tatizo na bado uelewa ni mzito.
So yes mambo ya huko mengi ukileta huku hayatofanikiwa sababu jamii mbili tofauti zenye IQ na culture tofauti
Yaani mtu anaona kuna mabadiliko ya kodi, bei za usafiri wa umma nk, asisome aweke tiki tu.

Sisi huku bongo tunaamka asubuhi tunakota tayari kuna kodi mpya, hakuna ushirikishwaji wa kutosha, halafu mtu anaona hilo ni gazeti, Dah!
 
Umeona kuwa wananchi wanapigia kura hadi majaji wa mahakama zao? Hujaona wananchi wanapigia kura mapendekezo ya mabadiliko ya kodi kwenye kaunti zao? Au haujasoma hiyo ballot kwa kutulia?
Huo mfumo niliufuatilia wakati Baraka Obama alipokuwa anagombea urais awamu ya kwanza

Kwa lugha rahisi huo mfumo haufai kutumika Tanzania, utaiondoa CCM madarakani
 
Back
Top Bottom