Hapo ukute umesahau miwani ya kusomea😎🙂Niende Kupiga Kura au Kusoma Gazeti?
Huo muda mie hata Sina
Mlolongo woote huo wa Nn?
Pia Sio kila Wakifanyacho Marekan Basi ndio Bora Kila Kitu tuige
Huo ni Utumwa tu Yaani Mmeshaona Wao ni Miungu watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ukute umesahau miwani ya kusomea😎🙂Niende Kupiga Kura au Kusoma Gazeti?
Huo muda mie hata Sina
Mlolongo woote huo wa Nn?
Pia Sio kila Wakifanyacho Marekan Basi ndio Bora Kila Kitu tuige
Huo ni Utumwa tu Yaani Mmeshaona Wao ni Miungu watu
Hiyo mifumo haiwezi kutumika kwenye jamii ya kanyaga twendeYaani mtu anaona kuna mabadiliko ya kodi, bei za usafiri wa umma nk, asisome aweke tiki tu.
Sisi huku bongo tunaamka asubuhi tunakota tayari kuna kodi mpya, hakuna ushirikishwaji wa kutosha, halafu mtu anaona hilo ni gazeti, Dah!
Uzuri wake unaweza pewa hiyo ballot siku nyingi kabla, kwa wale ambao hawataki kwenda kupiga kura kwenye vituo wanaituma tu kama barua.Hapo ukute umesahau miwani ya kusomea😎🙂
nimekupta vema.Umeona kuwa wananchi wanapigia kura hadi majaji wa mahakama zao? Hujaona wananchi wanapigia kura mapendekezo ya mabadiliko ya kodi kwenye kaunti zao? Au haujasoma hiyo ballot kwa kutulia?
Yeah!....hizo karatasi zinafawaa wanaojua kusoma na kuandika tu kwa wengine itakuwa ngumuBongo ukiweka kama hizo paper umevuruga kila kitu nusu ya wataopiga kura hawajasoma wamezoea kuweka tiki tu kwenye picha..
Naona upo ndani ya mavazi ya kiarabu huku unatumia iPhone ya Mchina, ukiwapa makavu kupitia socia media forumNiende Kupiga Kura au Kusoma Gazeti?
Huo muda mie hata Sina
Mlolongo woote huo wa Nn?
Pia Sio kila Wakifanyacho Marekan Basi ndio Bora Kila Kitu tuige
Huo ni Utumwa tu Yaani Mmeshaona Wao ni Miungu watu
Ila wee nawe ni pisi 😊😊Niende Kupiga Kura au Kusoma Gazeti?
Huo muda mie hata Sina
Mlolongo woote huo wa Nn?
Pia Sio kila Wakifanyacho Marekan Basi ndio Bora Kila Kitu tuige
Huo ni Utumwa tu Yaani Mmeshaona Wao ni Miungu watu
Unaona sasa the difference, gape ni kubwa sanaYaani mtu anaona kuna mabadiliko ya kodi, bei za usafiri wa umma nk, asisome aweke tiki tu.
Sisi huku bongo tunaamka asubuhi tunakota tayari kuna kodi mpya, hakuna ushirikishwaji wa kutosha, halafu mtu anaona hilo ni gazeti, Dah!
Completely hakuna cha kujifunza wala kuiga kwenye hili gentleman 🐒Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa.
Mbali na wagombea wa urais kuwa nane, wagombea wanaofahamika na watu wengi ni wawili ambao ni Donald Trump na Kamala Harris. Wakati watu wanasubiria kwa hamu tukio hilo wengine wameshapiga kura ambao wamepiga kura kwa njia ya "Posta".
Katika pitapita zangu mtandaoni nimepata ballot paper ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini naona kuna tofauti kubwa ya uchaguzi wa Marekani na watanzania.
Mathalani uchaguzi wa Marekani hauishii kwenye urais tu bali na vitu vingine.
Hii ballot paper ya hapa ni specific kwa jiji la Lansing lililopo kaunti ya Igham jimbo la Michigan.
Je kuna la kujifunza hapo?
View attachment 3143791
View attachment 3143790
View attachment 3143789
View attachment 3143788
Mimi napenda hii ije Tz. Popular vote ni kitu kinafanya watu wazingua, lazima tutumie meritocracy badala ya huu mfumo mtu ana miaka 18 apige kura kuamua nani awe RaisPamoja na mbwembwe zote hizo hado mshindi anaweza asiamuliwe na popular vote bali akaamuliwa na kakikundi cha watu wachache kwenye Electrol College
Democracy ilishabakwa kitambo sana Marekani
Na nyie pelekeni waangalizi wenu wa kimataifa Marekani kuangalia kama uchaguzi ni huru na wa haki
Lengo la Demokrasia ni lipi?Mimi napenda hii ije Tz. Popular vote ni kitu kinafanya watu wazingua, lazima tutumie meritocracy badala ya huu mfumo mtu ana miaka 18 apige kura kuamua nani awe Rais
Wala hawachaguliwi na kikundi cha watu wachache. Kinachotokea ni ile wanaitaPamoja na mbwembwe zote hizo hado mshindi anaweza asiamuliwe na popular vote bali akaamuliwa na kakikundi cha watu wachache kwenye Electrol College
Democracy ilishabakwa kitambo sana Marekani
Na nyie pelekeni waangalizi wenu wa kimataifa Marekani kuangalia kama uchaguzi ni huru na wa haki
Wala hawachaguliwi na kikundi cha watu wachache. Kinachotokea ni ile wanaita
"winner take all".
Kwamba;
Wananchi wanavyopiga kura katika jimbo flani,mshindi katika jimbo hilo huchukua kura zote za Electral College za jimbo hilo.
Majimbo makubwa yenye watu wengi ina wajumbe wachache wa Electral college na majimbo madogo yenye watu wachache ina wajumbe wengi wa Electral college.
Ni mfumo mzuri sana kwani huzuia majimbo makubwa kuwa na maamuzi ya kuchagua viongozi wao peke yao.
Mfano kwa hapa kwetu,Wasukuma na jamii ya watu wanaoishi Dar es Salaam pekee inaweza kuchagua Rais, na sehemu nyingine zenye watu wachache kama Lindi,Njombe wanakuwa wasimdikizaji tu kwamba Dar na Mikoa ya kanda ya ziwa wakisema tunamvhagua Rais 'G' basi uwezekano wa mtu huyo kuwa Rais ni mkubwa sana na viongozi watapigana kufanya kila kitu maeneo hayo tu ila kwa mfumo wa electral vote college ni ngumu kwani na maeneo yenye ushawishi mdogo wanafanywa kuwa na maamuzi makubwa kwa kuumia electral college.
Kwasisi tungetumia mikoa iliyosahaulika