Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Nimekosa mimi, nimekosa sana, naomba unisamehe tu maana sikujua neno "utani" huwa hulifahamu kabisa Mzee Baba.Duh,kumbe tukichangia na kuwapa stori za Town tunajipigia
Promo ....aise
Ndomana imebidi tupunguze kuwapa dondooo na majimambo ya mjini....shauri zenu mnapitwa na mengi
Ova
Sina imani kama weweUmeongea kiingereza Kiswahili nk cjaelewa point yako. Hoja imeanzia kwenye biblia ndio maana inajibiwa kibaibo. Ninachosema ufahamu wako sio tiketi ya mimi kukufuata. So moja ya sababu ya dunia kuwa na aman ni kule kuamin kila mtu yupo sahihi kwenye lile analoona linafaa kwake. Kunilazimisha mimi kuamin unayowaza ndio ujinga wenyewe. Na pia unaweza kumtengeneza Mungu kwa namna ile unayotaka wewe uko sahihi. Ila kusimama mtu mzima mishipa imekutoka sijui hayo maujinga unayofuata ni ujinga kupindukia.
Natania tu mkuuNimekosa mimi, nimekosa sana, naomba unisamehe tu maana sikujua neno "utani" huwa hulifahamu kabisa Mzee Baba.
Hio mbonaMnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.
Sio mtaalam sana wa Bible ila mafundisho nilipitia..Bujugo alishafariki,kuhusu hiyo shule ya Misenyi sijui ila Bujugo alikuwa mfadhili wa Bujugo sekondari kijijini kwao.Jina Bujugo siyo lake ni la kijiji.Nasikia zamaji hata yeye
Yesu hakuhubiri sheria ya jino kwa jino.Ina maana usipompata uliyemkosea Yesu hakuokoi? Mtume Paulo ni wapi aliwaomba msamaha aliowatesa? Halafu tunaamini,To every general rule there is an exception.Utapatana vipi na mtu ambaye alishafariki na hakuna ndugu wala jamaa yake? Kasome vema injili ya mwana wa Adam uje ukiri hapa kwa hakika Lesheya yuko mahali pema mkono wa kuume wa baba yetu.Hata kama kupatana na uliyemkosea ni lazima ,una evidence gani kwamba Lesheya hakulitimiza hilo?Mwenzio mali nyingi kaliachia kanisa.
Huyu ndie alikuwa mumiliki wa viwanda na bidhaa kibao za ngozi AU SIYE?Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Bahati mbaya au nzuri viongozi wetu wa kiroho wakisikia shuhuda hizo badala ya kumuongoza kondoo wa bwana mahali zilipo mali za mzulumaji ili kurudisha kwa wahusika ikiwezekana wao wanapiga kimyaaaNi rahisi kwa Ngamia kupenya katika tundu la sindano Kuliko Tajiri kuuona ufalme wa mbinguni.
Haahaahaaaaa we madam unapenda ubuyu.ila kiukweli jf kuna watu aise yani ukileta kichwa cha habari watu wanashuka esse ya kutosha. Kama history ya advanceMko kimya mbona?
Mwageni data, tunawasoma.....
Yaani Jf konyo.Haahaahaaaaa we madam unapenda ubuyu.ila kiukweli jf kuna watu aise yani ukileta kichwa cha habari watu wanashuka esse ya kutosha. Kama history ya advance
Aisee mimi wamekuja kuniangalia nasoma nini kwa jinsi nilivyocheka.Hii comment imenichekesha mpaka watu wamenishangaa kwenye basi. Lazima ucheke.
Waliocheka kama mimi tu like hapa
Nimekuuliza huu mjadala umeanzia kwa Emily oiso na watu wakazungumzia ameokoka ndio mjadala ulipoanzia. Sasa nakushangaa unavyopanic mzee. Nimekuambia tena huhitaji hisia kuelezea unachoamin. Coz kila mtu yupo sahihi kwa kile anachoamin. Muislam anamuona mkristo kapotea, mbudha anamuona Shinto kapotea nk nk. Vivyo hivyo wasioamin chochote kama wewe unatuona sote tumepotea na upo sahihi. Ujinga ni pale wewe unapotaka tuamin kile akili yako ilichokariri. Mzee kila kitu humu dunian ni namna ulivyoprogramiwa au ulivyojiprogram. Hata maandish unayotumia kuandika hapa ni mtu alikuprogram kwamba hii ni Tau B so usiumize shingo mzee, fanya kile kinachokufanya uinjoi. Na hata hapa punguza kuwasemea watu mzee watu wanauelewa wao.Sina imani kama wewe
Wewe ndio unatuaminisha unacho amini wewe
Nikuulize tu Bwana Kitali,tupo hapa tuna discuss mambo ya kidunia,tunatoa hoja za kidunia....yanini umetumia imani zako binafsi za kidini kudiscuss mjadala huu ambao hauhusiani na dini kabisa?
Kulikua na haja gani?
Kama sio kujawa na extremism ya ushenzi wa dini tu
Halafu unadhani kila mtu anajua what the fvck is BIBLE?au Yesu?au Mungu?
Christians are worst people
mali imekua mali! Watu wanaabudu sana mali kuliko utu! Na hii dunia ukiwa lege lege mbona wanakulambisha mchanga.Bahati mbaya au nzuri viongozi wetu wa kiroho wakisikia shuhuda hizo badala ya kumuongoza kondoo wa bwana mahali zilipo mali za mzulumaji ili kurudisha kwa wahusika ikiwezekana wao wanapiga kimyaaa
Aisee.....Msimpe Mungu majukumu yasiyomhusu, hukumu ya Lesheya mbona inafahamika
Kuna bidhaa gani nyingine mkuu??, wadau wa kuvukisha wapo??.Ile boda haijawahi ishiwa magendo,toka enzi za kuingiza bia za tusker na plisner, wakahamia kwenye sabuni na mafuta ya taa na ya kula (bidco) na sasa ni mwendo wa bati na cement maana bati ya kenya ni bei rahisi na haipauki, cemnt pia ni buku 12 tu za k i tz. Wakati ya bongo ni 18
Wenye ukimwi hupatwa sana na hii.Cryptococcal Meningitis