TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

sikupingi. Ile wilaya imekaa kushoto sana. Ambapo inawapa safe haven kufanya yao.
Tuliendaga kuuza mkonge hardtop kikirikikiri za biashara
Yule mnunuzi usiku saa moja usiku ndy analeta hela tukamwambia,mzee we deposit hela tu kwenye ac...kesho mapema tumalizane
Jamaa wenyewe walikoma 😄
Hyo pesa tungeichkua tu usiku tungetembelewa na wageni
Kweli kesho yake jamaa wakaenda mjini Bank waka deposit.....
Pande zile watundu wako wengi
Wanaishi kama ma cow boy

Ova
 


Ni kweli umeelezea vizuri.
Dhambi ya dhuruma ili dhrumat asamehewe huwa anatakiwa kurejesha alichodburumu kwa alowadhurumu pamoja na riba.
Yani ndio maana haisemi rejesha mara moja la hasha ni huwa ni zaidi ya ulichodhurumu.
Utarejesha mara 10 ya kile ulichodhurumu kwa watu.
Mwenyezi Mungu anachukizwa mno na dhambi ya dhuruma.

Na malipo yake nayo huwa hayachelewi hapa Duniani na malipo ni hivyo hivyo in multiplications.
Utadhurumu 3 utaapoteza 30 😛😛

Mungu ni zaidi ya fundi.
 
😂😂😂😂😂 nimecheka sana daah kama ndio ivyo basi noma sana kwani huyu na Alex masawe walikuwa washkaji ? Manake nae alikuwa dingi mmoja wa mbezi dhurumati kinoma kapora watu viwanja aloo acha kabisaaa
Masawe ana Ghorofa lake pale msasani
 
Nyari yupo Kiongozi ingawa umri umeanza kusogea,nilimuona mwaka huu 2024 mwanzoni,maeneo ya Stendi KUU ya Mabus Arusha,akikagua kibanda chake cha biashara na watu wa Jiji,
Huyo mzushi kweli naye alikuwa
,nlishafanya biashara naye
Sema naye wakati ule ukimpelekea mzigo akikupa hela tu badaye wanakutumia watu ugeni 😄
Naona ile kesi aliyopataga hadi akanyolewa ilimnyoosha kdg

Ova
 
Kuna bidhaa gani nyingine mkuu??, wadau wa kuvukisha wapo??.
Usalama wa kuvukisha ukoje mkuu?? Mamaya
Kwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
 
Si uko Hapo maeneo ya mpaka huo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…