TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo. Anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills, Zan fast ferries , majipoa Nk.

Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.

20210430_124539.jpg
 
Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.

Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Daaah, Mzeee alikuwa Tycoon aliyeshika sawa sawa Soko la Bidhaa za Sukari, Mafuta ya kula nk.
Nitakumbuka sana Foleni za Dukani kwake hapo Kitumbini Daaaslam wakati wa Ujana wangu nikipambana na Maisha. Mungu amuweke mahala Pema.
 
Back
Top Bottom