Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Daaah, Mzeee alikuwa Tycoon aliyeshika sawa sawa Soko la Bidhaa za Sukari, Mafuta ya kula nk.Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Umetoka mkoani lini mkuu?Eeh matajiri wengi..simfaham huyu
Wengi hatuwafahamu lakini unatumia bidhaa zao.Eeh matajiri wengi..simfaham huyu
Eeh matajiri wengi..simfaham huyu
Kwan hiyo Zan fast ferries si wanasema ni za Turkey?Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Simulia japo kidogo mkuu kwa wasiojua wema wakeINNALILLAH WAINA ILAYH RAJUUN.. Huyu Bingwa namkumbuka sana kwa wema na ubinadamu wake..
Roho ya marehemu ilale mahali Pema peponi Amiin..