King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Vunja bei ana duka sinza tu na dodoma la nguo nchi nzima anajulikana na vijana. Hawa kina zakaria wanauza mafuta korie na sabuni za foma miaka na miaka kila duka nchi nzima lina bidhaa zake na kila mtanzania amewahi zitumia ila tajiri sio maarufu
Wengi jamii izi nyeupe za Hindi na Arabu zinakula Heroin na Cocaine. Starehe kubwa duniani kuzidi mapenzi ni hayo Maunga na maheroinePumzika kwa amani mzee ila.MENO YANAONEKANA ALIKUWA ANATAFUNA MA KUBER KISAWASAWA
Huwa nikipita kwenye vibaraza vya maduka ya wahindi nakuta wabongo wanakata kata kwa mikasi maalumu madude mambegu fulani ya mviringo ambayo baadaye huyafifikicha fikicha kwa malailoni na kuwapa mabosi zao watafune sijui ni manini na yanaingizwaje nchini ?Wengi jamii izi nyeupe za Hindi na Arabu zinakula Heroin na Cocaine. Starehe kubwa duniani kuzidi mapenzi ni hayo Maunga na maheroine
Alikuwa analeta mafuta ya korie yana Chorestrol na kuua watu. Hahah haha businessAliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
Sawa,pole nyingi sana kwa wafiwa,lakn pia inaonyesha tayari jua lilikuwa limeanza kuzama.so tumshukuru Mungu kwa kumpa maisha hayo na nafasi ya kiuchumi kwa nchi yetuMfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Unalipa kitumbini unaenda kuchukua mzigo pale kariakooo gerezani au kwenye godauni zake maeneo ya KekoRIP Zakaria. Huyu jamaa alikuwa ni muuzaji mkubwa wa bidhaa za vyakula. Sukari, ngano, Mafuta ya kula nk.
Ofisi yake kubwa ilokuwa pale kitumbimi . Unalipa pale then unapangiwa wapi ukachukue bidhaa zao.
Masaki utakuta anamiliki apartments za kutosha....jamaa alikua anaingiza meli mzima imejaa bidhaa zakeKuna kijana wake mmoja anaishi Canada
Ila huyu mzee alikuwa anaijua hela,licha ya utajiri wake kama kawaida yao bado wanaishi kwenye flats za nhc[emoji23][emoji23]
Ova
Hawa ndio walikuwa wameshikilia importation ya sukari nchini, yeye, mo na bakhressa.
Hata hivyo biashara zake nyingi kubwa alizifungua huko Zambia kutokana na uduanzi wa mwendazake huyo tajiri asingependwa na mzee hawa ndio walikua walengwa wakuu waishi kama mashetani..Angefariki kipindi Cha jiwe tungesema account zake za benki zimefungwa na kodi kapigiwa mahesabu makubwa ya kulipia
Kodi halali+kodi ya dhuluma=biashara zimekufa
Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Bila sabuni ya B29Hujawai kupikia mafuta ya kula ya korie ? Ama sundrop ? Ama kufua nguo zako kwa sabuni za Foma ama Puff ,Huyo ndio mmiliki
Covid ilivyomtafuna tu ikasepa. Huyu alikuwa na gunduBora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake 😄😄😄😁kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Huyu jamaa mbona watu wote humu wanamtakia Kheri inamaana kafanya mazuri kuzid Jiwe?Innalillah wainna ilayhrajiuun
Polen sana Omba omba wote wa katikati ya Jiji kuondokewa na Mlezi wenu aliekuwa akiwasaidia kupata milo miwili kwa siku
Yaani anazungumziwa mema yak na kila mtu c Kama jiwe watu wanalazmisha tu tumzungumzie wema wake wakt hatuuwoniHuyu jamaa mbona watu wote humu wanamtakia Kheri inamaana kafanya mazuri kuzid Jiwe?
Hawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
Vunjabei anauza maronyaronya tu humo dukani kwake mpaka unajiuliza japo unapewa kadi ka ya mlimani city[emoji16][emoji16]Biashara hizo mara nyingi ni za kuzugia behind the scenes ni makontena na donkey.
Ndio kama kina masanja kuonyesha wanalima mpunga huku wakiendesha bmw x6 kumbe behind the scenes wanapiga fedha chafu.
Weee[emoji848]Alikuwa analeta mafuta ya korie yana Chorestrol na kuua watu. Hahah haha business