residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Corona au yeye jiwe? Hakuua kwa sera zake mbovu!!??Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake [emoji1][emoji1][emoji1][emoji16]kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Ndiyo maana babalevo alidai hatavaa tena minguo iliyochanikachanika ya vunjaMkuu...ingia la sinza or kkoo!
Kuna wadada nilipishana nao mlangoni wanasonya kabisa nilivyoingia ndo nikajua why[emoji848][emoji848]
Simsingizii, sina wivu ila zile sio nguo or viatu vya mtu mwenye akili timamu kuvaa, hata kama ni masikini!
Hakuweka hazina yake mbinguni.Kwa hiyo Jiwe bado hajaumaliza mwendo?
Houseboy wake
Innallillahi Wainna Illaihi Raj Un. Kwa hiyo wale mabilionea wa Arusha wangeweza kuajiriwa na huyu Tycoon. Mwenyezimungu amlaze mahali pema peponi kwa yote aliyotenda.Hawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
Kikulacho Chako amwaga neno la hekima.Mwanadamu hapaswi kukiogopa kifo bali kujiandaa na maisha baada ya kifo maana ukaribu wa mwanadamu na kifo ni zaidi ya ukaribu wa kiatu na unyayo wake......
Ha ha haa,umejuaje Kama hayupo mkoani kwa Sasa?Umetoka mkoani lini mkuu?
Kwahiyo kwa akili yako fupi unadhani kila mtu hapa JF anamjuwa huyo house boy wa huyo tajiri ndio maana ukataja jina lake bila kutuambia ni nani?Houseboy wake
Imani ameilinda mwendo ameumaliza.Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
Serikal si walimfungia hasiagize sukar kwa sababu anaingiza sukar zilizo expired?Sukari Ni yeye tu na mo.ana helaaaa kama hewa yaani
acha tu kaka[emoji38][emoji38]Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake [emoji1][emoji1][emoji1][emoji16]kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
mpaka hapo naimani keshatoboa.Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
mbona unasemea watu,sema huuoni.Yaani anazungumziwa mema yak na kila mtu c Kama jiwe watu wanalazmisha tu tumzungumzie wema wake wakt hatuuwoni
Azania sio , ni watu tofautKama umewahi kutumia unga wa Azania ama mafuta ya korie inatosha.
Ana duka Sinza , kinondon, Dodoma, mwanza , iringa , mbeya na ArushaVunja bei ana duka sinza tu na dodoma la nguo nchi nzima anajulikana na vijana. Hawa kina zakaria wanauza mafuta korie na sabuni za foma miaka na miaka kila duka nchi nzima lina bidhaa zake na kila mtanzania amewahi zitumia ila tajiri sio maarufu
Vipi Late Mafuruki unamzungumzijeHawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
Hanunui sukari njeSerikal si walimfungia hasiagize sukar kwa sababu anaingiza sukar zilizo expired?
Sorry mkuuKwahiyo kwa akili yako fupi unadhani kila mtu hapa JF anamjuwa huyo house boy wa huyo tajiri ndio maana ukataja jina lake bila kutuambia ni nani?