King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Saitoti ndiyo yupi hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mkuu..mtu akiwa B kadhaa kwenye account kupoteza presence yake si rahisi kuna familia kadhaa zinamtegemeaKabanduliwe huko mbele ya safari
Wewe umejuaje kama ana hizo b kadhaa? Alikwambia wakati anakubandua?Acha wivu mkuu..mtu akiwa B kadhaa kwenye account kupoteza presence yake si rahisi kuna familia kadhaa zinamtegemea
Mwanaume Kutumia matusi ni ishara ya mwanaume dhaifu ili aonekane ana nguvu😂Wewe umejuaje kama ana hizo b kadhaa? Alikwambia wakati anakubandua?
Siku hizi Mirerani imekua sio tamu kama enzi zetu za miaka ya 90 kusubiria mawe Kia kule na kutoboza kwa AfgemMkuu, ebu muwe mnapunguza ukali wa vichwa vya habari ili kupunguza taharuki.
R.i.P Baba Saitoti
Kwahiyo tufanyeje??Mfanyabiashara Maarufu Mkoa wa Arusha na Manyara na mmiliki wa kampuni za uchimbaji wa madini ya Tanzanite Azo Africa Limited na Germ and Rock Ventures, Joel Saitoti amepata pigo zito kwa kufiwa na baba yake Mzazi Emmanuel Laidoson Mollel ambaye alikuwa ni Mkulima na Mfugaji katika kijiji cha Nduruma marurani Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha
Taarifa iliyotolewa na familia imesema kwamba baba yao aliugua kwa muda mrefu kwa kipindi cha miaka mitano na kufariki dunia February 2, 2023 hivyo Mazishi yatafanyika February 7, 2023 kijiji cha Marurani kata ya Nduruma Wilayani Arumeru
View attachment 2505226View attachment 2505227
Sifahamu ndo maana nikakuuliza kuwa hayo mambo ya b kadhaa alikwambia wakati anakubandua? Jibu swali tafadhaliMwanaume Kutumia matusi ni ishara ya mwanaume dhaifu ili aonekane ana nguvu😂
Kama hufahamu biashara watu wanafanya ni vizuri kuuliza
MaSwali wajibiwa watu wenye pesa sio wewe mlalahoi na mwanaume dhaifuSifahamu ndo maana nikakuuliza kuwa hayo mambo ya b kadhaa alikwambia wakati anakubandua? Jibu swali tafadhali
Wenye pesa ndo hao wanaokubandua?MaSwali wajibiwa watu wenye pesa sio wewe mlalahoi na mwanaume dhaifu
Maana unakazana sana kufichua siri zako za kubanduliwa chukua tahadhari watakunyonga wakuweke kwenye box kama mwenzako huko kenya..Wenye pesa ndo hao wanaokubandua?
Kagongwe ngoziMaana unakazana sana kufichua siri zako za kubanduliwa chukua tahadhari watakunyonga wakuweke kwenye box kama mwenzako huko kenya..
Ishi kama mwanaume acha kuchekea mwanaume
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app