TANZIA Mfanyabiashara maarufu wa madini Arusha, Saitoti afiwa na Baba yake

Acha wivu mkuu..mtu akiwa B kadhaa kwenye account kupoteza presence yake si rahisi kuna familia kadhaa zinamtegemea
Wewe umejuaje kama ana hizo b kadhaa? Alikwambia wakati anakubandua?
 
Mkuu, ebu muwe mnapunguza ukali wa vichwa vya habari ili kupunguza taharuki.
R.i.P Baba Saitoti
Siku hizi Mirerani imekua sio tamu kama enzi zetu za miaka ya 90 kusubiria mawe Kia kule na kutoboza kwa Afgem
 
Kwahiyo tufanyeje??

Ila tuko kwenye kizazi Cha HOVYO sana.

Attention seeking morons everywhere.

Clout chasers
 
Mwanaume Kutumia matusi ni ishara ya mwanaume dhaifu ili aonekane ana nguvu😂
Kama hufahamu biashara watu wanafanya ni vizuri kuuliza
Sifahamu ndo maana nikakuuliza kuwa hayo mambo ya b kadhaa alikwambia wakati anakubandua? Jibu swali tafadhali
 
Sifahamu ndo maana nikakuuliza kuwa hayo mambo ya b kadhaa alikwambia wakati anakubandua? Jibu swali tafadhali
MaSwali wajibiwa watu wenye pesa sio wewe mlalahoi na mwanaume dhaifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…