pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Nipo mwanza na usajili ni bure kabisaHujataja eneo ulipo na gharama kama zipo.
Japo kama fumbo lako sijalielewa hiviπ€KAZI ni kipimo Cha utu
ShukraniNipo mwanza na usajili ni bure kabisa
Inatokana na leseni yako ina ukubwa gani bossLipa namba inaweza ku hold kiwango gani cha pesa
1bn ?
Vipi suala la usalama? Mtu kalipa then kapiga simu kuwa kakosea namba?LIPA NAMBA?π€
Ni line Maalumu ambazo hutumiwa na wafanyabiashara
LAINI hizi hutumiwa pia na Mawakala kwa matumizi ya kutoa pesa
Kwa wafanya biashara mfano Maduka, Mteja Anaweza kulipia bidhaa kwa kulipa kupitia simu na hii ndio sababu ya LAINI hizi kupewa jina la LIPA NAMBA
AU LIPA KWA SIMU
FAIDA YAKE
π€Line ya Lipa namba inakuwezesha kutoa pesa kwa wakala yeyote bila ya kuwa na makato YEYOTE
π€Line unauwezo wa kupokea pesa kutoka kwa mtandao wowote bila ya kuwa na makato ya ziada
πline inauwezo wa kupokea pesa Hadi milioni 50 na wakati laini ya kawaida haiwezi kupokea kiwango kikubwa Cha fedha!!
π₯Unaweza ukahifadhia pesa zako
πͺFAIDA KUBWA YA LIPA NAMBA NI KUTOA PESA BILA MAKATO YEYOTE
LIPA NAMBA NAIPATAJE
π€Lipa namba ya M-Pesa vigezo Ni:-π
1. TIN number. Kama hauna utatengenezewa
2. Namba ya kitambulisho Cha NIDA
3. Line ya VODA sajiri zingatia LAINI ISIWEZESHWE M-PESA sajiri tu Kisha nipe namba
π€Nipigie kwa namba 0765400947 (Whatsapp,simu,Sms
π€Ukiwa MWANZA naweza kukufata Ulipo
π€²KARIBUNI SANA
GHARAMA: 10,000Tshs
πππππ
ππ°ππ§π’π§π’ ππππ π§ππ¦ππ π²π π―π¨ππ π‘π’π²π¨ π₯π’π§π’ π²ππ€π π’π¬π’π°ππ³ππ¬π‘π°π π ππππ?LIPA NAMBA?[emoji848]
Ni line Maalumu ambazo hutumiwa na wafanyabiashara
LAINI hizi hutumiwa pia na Mawakala kwa matumizi ya kutoa pesa
Kwa wafanya biashara mfano Maduka, Mteja Anaweza kulipia bidhaa kwa kulipa kupitia simu na hii ndio sababu ya LAINI hizi kupewa jina la LIPA NAMBA
AU LIPA KWA SIMU
FAIDA YAKE
[emoji847]Line ya Lipa namba inakuwezesha kutoa pesa kwa wakala yeyote bila ya kuwa na makato YEYOTE
[emoji847]Line unauwezo wa kupokea pesa kutoka kwa mtandao wowote bila ya kuwa na makato ya ziada
[emoji41]line inauwezo wa kupokea pesa Hadi milioni 50 na wakati laini ya kawaida haiwezi kupokea kiwango kikubwa Cha fedha!!
[emoji91]Unaweza ukahifadhia pesa zako
[emoji123]FAIDA KUBWA YA LIPA NAMBA NI KUTOA PESA BILA MAKATO YEYOTE
LIPA NAMBA NAIPATAJE
[emoji848]Lipa namba ya M-Pesa vigezo Ni:-[emoji116]
1. TIN number. Kama hauna utatengenezewa
2. Namba ya kitambulisho Cha NIDA
3. Line ya VODA sajiri zingatia LAINI ISIWEZESHWE M-PESA sajiri tu Kisha nipe namba
[emoji1690]Nipigie kwa namba 0765400947 (Whatsapp,simu,Sms
[emoji1696]Ukiwa MWANZA naweza kukufata Ulipo
[emoji2969]KARIBUNI SANA
GHARAMA: 10,000Tshs
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hapo lazima wewe mwenyewe upewe taarifa kwamba hela inataka kurudishwa, na unaulizwa kama ulimuhudumia huyo mteja ukisema ndio basi haiwezi rudishwa SEMA HILI INABIDI NIKUELEZEE VIZURI KWA SIMU HEBU NICHEKI KWENYE 0765400947Vipi suala la usalama? Mtu kalipa then kapiga simu kuwa kakosea namba?
Ukiwezesha M-PESA itagoma maana yake ikija kutengenezwa itakuta laini tayr ina account ya hiyo M-PESAππ°ππ§π’π§π’ ππππ π§ππ¦ππ π²π π―π¨ππ π‘π’π²π¨ π₯π’π§π’ π²ππ€π π’π¬π’π°ππ³ππ¬π‘π°π π ππππ?
Airtel na yenyewe ipo ila lazima uwe na leseni pamoja na TIN na nida yako na ina gharama yake piaLipa no ya mitandao mingine vipi mfano
Airtel
Tigo