Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa ambayo Mwekezaji Mzalendo Ndugu Mbilinyi ameisambaza kwa vyombo vya habari vya ndani na Nje ya Nchi , wakati akitia Saini Mkataba huo wa kusimamia masuala ya Logistics mbele ya jopo la Wanasheria wake wa Kimataifa na washauri wake wa masuala ya biashara Mjini Iringa
Sugu amesema kwamba ameingia kandarasi hiyo ya mwaka mmoja yenye kipengere cha kuongezwa ikiwa kila upande utaona umuhimu wa kufanya hivyo .
Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi upya .