Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pia ametangaza kuajiri vijana wa Kitanzania walionyimwa ajira kinyama kwa miaka 6 mfululizo bila hurumaAsisahau kupatiwa chanjo tu!
Baada ya yule Nduli boss wa mataga kwenda zake!Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi upya .
Yeye kaajiriwa hapo na huyo mchina!Pia ametangaza kuajiri vijana wa Kitanzania walionyimwa ajira kinyama kwa miaka 6 mfululizo bila huruma
Jiwe aachwe tu aondoke zake manake!!Baada hotel kukombolewa toka kuvunjwa ili aunge mkono juhudi daa acheni Mungu aitwe Mungu
Sasa Happ hela inatumika wapi wakati huyu jamaa Ni Dalali tu?Mijitu ya ccm yenyewe inaiba hela kisha inaficha hela nje ya nchi badala ya kuwekeza kama Sugu
Sugu moto chini
Hata mimi niko njiani kuingiza nchini dollars million hamsini awamu ya kwanza kusikilizia. Wakinishawish kuna mazingira mazuri ya uwwkezaji na haki za binadamu naongeza zingine 200million dollars halafu baadaye naongezaMijitu ya ccm yenyewe inaiba hela kisha inaficha hela nje ya nchi badala ya kuwekeza kama Sugu
Sugu moto chini
umeishia darasa la ngapi ?Sasa Happ hela inatumika wapi wakati huyu jamaa Ni Dalali tu?
karibu sana mkuuHata mimi niko njiani kuingiza nchini dollars million hamsini awamu ya kwanza kusikilizia. Wakinishawish kuna mazingira mazuri ya uwwkezaji na haki za binadamu naongeza zingine 200million dollars halafu baadaye naongeza
Kipi Cha ajabu mwananchi wa kawaida kuwa Dalali?umeishia darasa la ngapi ?
utakuwa na uwezo duni sana wa kuelewaKipi Cha ajabu mwananchi wa kawaida kuwa Dalali?
Una elimu level gani mkuu?Sasa Happ hela inatumika wapi wakati huyu jamaa Ni Dalali tu?
Ukiwa MATAGA hata kama ni PhD Holder ili uweze kuFit lazima ujitoe ufahamu kichwa kiwe''Empty Set''.utakuwa na uwezo duni sana wa kuelewa
Wewe bado ni lofa Tu uliyeishiwa mipango lazima uwaze mawazo ya kijingaSasa Happ hela inatumika wapi wakati huyu jamaa Ni Dalali tu?