Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Mkuu RITZ nadhani unauelewa mzuri tu, mwandishi ameeleza kinagaubaga ni kwa njinsi gani huyu mfanyabiashara ameteka vyombo vya dora na sasa kama polisi si moja ya vyombo vya dola tuambie hapa jamvini. Kumbe unajua kuwa lipo gorofa japo kuwa kakosea mtaa tu, Je unafurahishwa na tabia za mfanya biashara huyu?
 

= dola

= ghorofa

Tabia zipi?
 
Kwa kweli mambo haya kawaida Na walenzi ni hao askari walikuwa wanapenda haramu. Hata Kama ningelikuwa mimi ningefanya maovu tu.
 
Chifu msaidie magu usimwangamize
 
Kwanini uko against magu?
 
Huyu Jamaa si ndio aliyemwagiwa tindikali? Maelezo ya kutosha tangia 2012 lakini mpaka sasa hajachukuliwa hatua yeyote au na yeye kala na wakubwa kama "LUNGUMI"?
 
Mbona mnarudia yale yale tuu? Hivi tusema hao takukuru watamkamata kwa tuhuma ambazo kisheria hazina mshiko?
Tuachane na majungu haya na kama ni kweli ana uraia wa nchi mbili peleka ushahidi uhamiaji uone na vile vile sheria zinaruhusu raia kufungua kesi dhidi ya uhalifu uliotuhumu kwa huyu jamaa. Mbona mnabaki kurudia tuhuma zile zile hadi zinachosha? au teseme jamaa kanunua system nzima ya serikali??????.
 
Leo Hii arobaini mnaanza kulialia tena Mara oooh jpm anakurupuka..wakti issues hizi mnazijua kkitaambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…