aitoshi Kusema Usitudanganye Mimi Naongea Facts TRA ni Taasisi ya Umma Yeyote ana Access ya kwenda na atapewa Taarifa kuhusu Tuhuma za Kodi Nendeni Mnaogopa Nini?,Mamlaka ya EPZ ipo Ubungo Pale Kuhusu Mradi wa Kiwanda cha UchinjajiSio Dhambi Nendeni Mkaulize!-Kama habari zenu ni za Kweli sio Majungu na Fitna za Kutumwa Nendeni Mkathibitishe Msemayo,Watu wanarukia Mambo pasina Kujua Undani na Kushuhudia utadhani wameona na Macho yao kumbe Umbea TuuuNdio Maana hata kwenye Sheria "USHAHIDI WA KUHADITHIWA/KUSIKIA HAUKUBALIKI..""HEARSAY EVIDENCE IS NO EVIDENCE AT ALL",Mtu anasikia Habari za Vijiweni tuu,Au Anaweka Thread humu na wamo Kwa KUTUMWA TU/CHUKI tuuu za Binafsi za Mafanikio ya Mtu,za Kibiashara Basi watu Wanarukia Kuhukumu utafikiri ni MIUNGU.-Kumbuka "USIHUKUMU usije KUHUKUMIWA"