realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,982
You have my 100% appreciation.Huyu si ndo alifadhili mabango ya mgombea wa chama mwaka 2015 nchi nzima? Kuna vita kweli hapo? Hebu come out and tell us the truth Mr katibu wa uenezi wa zamani na wa sasa
Kwani ni series ya kikorea hii?? Kina Jumong?Makonda kaingizwa mkenge na ma drug dealers kundi moja limeamua kumtumia kama serikali kupambana na kundi lingine, na kama hajaingizwa basi na yeye ni mmoja wao, so anatumia cheo alichopewa kupambana na kundi hasimu, make siku zote makundi haya huwa hayataki kundi lingine liwapiku kibiashara, ama wanataka wateke soko wenyewe, tusubiri tuone.
Duuh huu uzi ulikuwa hai mwaka 2012 lakini umehuishwa tena 2017.
Mwosha huoshwaaaa; RC furukuta na hapo sasa!
Tunarudia yale yale....utawala wa Kikwete ulikuwa ni utawala wa kishetani kwani Kikwete na genge lake kwa makasudi tu walikuwa wanafumbia macho maovu yatendwayo na magenge yake. Wanasema Tanzania hatuna uraia pacha, mbona huyu jamaa anao na si yeye tu? Jibu, huyu jamaa ni mwana mtandao. Inawezekanaje mtu tena raia mgeni anaishi hapa Tanzania na kutesa ndugu zetu bila kuchukuliwa hatua, yaani tumekuwa Kenya mgeni kumyanyasa raia huku akichekelewa? Tanzania tuwe tunaruhusiwa kuua watu kama hawa, yaani mtu ampige risasi mtoto wangu alafu aachiliwe huru? No fucking way...lazima niue tena mgeni, huyo simwachii. Tanzania tulimuhitaji Magufuli kuja kuondoa uzezeta wetu kwani hata kama rais angekuwa Lowassa asingefanya haya afanyayo Magufuli kwa sababu angekuja na kulipizia visasi na hata huyo jangili Rostam asingemakamata kwani ni mshikaji wake.
sidhani kama shekh mkuu wa bakwata kama yupo sahihi na mafundisho ya dini yetuMkuu tujiulize hivi wasanii kama Diamond na Ali Kiba walitoa wapi milioni 20 rejareja za kuwapa GSM foundation? Hiyo ni njia mojawapo ya money laundering
Wachunguzwe hawa wasanii kama kweli pesa hizi walitoa kwenye pesa walioipata kihalali au ndo ile unapewa uonekane unanipa kumbe pesa za kwangu unazitakatisha. Sisi watu wazima tunaelewa sana mchezo huu
Halafu yule sheikh mkuu wa Dar es Salaam ni rafiki kipenzi wa Makonda na kuna tetesi toka kwa baadhi ya waumini wakimtuhumu kwamba anapakapaka 'ambi' wakati Ray yeye anakunywa maji tu.
akili za Kalunguyeye wa Kike alie katika siku zake .Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.
Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
Haya wale waliocomment mwaka 2012 tafadhali njooni mmalize ubishiNaona heading imekuwa doctored,
mwaka 2012 hakukuwa na GSM FOUNDATION,
wala huyo said sio boss wa GSM FOUNDATION.
hizi habari ni sawa tu na uzushi wa magari 700 ya washawasha
mh kiukweli watanzania tuamkeDuuh huu uzi ulikuwa hai mwaka 2012 lakini umehuishwa tena 2017.
Mwosha huoshwaaaa; RC furukuta na hapo sasa!
Mkuu tujiulize hivi wasanii kama Diamond na Ali Kiba walitoa wapi milioni 20 rejareja za kuwapa GSM foundation? Hiyo ni njia mojawapo ya money laundering
Wachunguzwe hawa wasanii kama kweli pesa hizi walitoa kwenye pesa walioipata kihalali au ndo ile unapewa uonekane unanipa kumbe pesa za kwangu unazitakatisha. Sisi watu wazima tunaelewa sana mchezo huu
Michezo ya cheupe cheusi... Ila kama kawaida yetu wa Tz tutapiga makofi na kushangilia afu siku itapitaNa hapo je? Makabidhiano ya msaada wa Diamond kwenda GSM umesimamiwa na Makonda.
Nani anamfadhili nani na kwa njia gani?
Diamond katoa milioni 20 kwa GSM foundation alafu GSM kupitia duka lake la Babyshop linamfadhili mtoto wa Diamond
Mwenye macho haambiwi tazama
Mkuu kwa hiyo GSM wako huru mpaka sasa ni ishara ya nini? Uungwana?
Namuaminia JPM, si muda huyu jamaa atachukuliwa hatua.
Namuaminia JPM, si muda huyu jamaa atachukuliwa hatua.
Dah,,,,,,Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo,,,, lakini Mungu anaona,,, evil will never prevail,,,,watatofautiana ndimi,,, watauana wenyewe,,,, na nchi itabaki salama,,,, people of God are praying,,,Makonda kaingizwa mkenge na ma drug dealers kundi moja limeamua kumtumia kama serikali kupambana na kundi lingine, na kama hajaingizwa basi na yeye ni mmoja wao, so anatumia cheo alichopewa kupambana na kundi hasimu, make siku zote makundi haya huwa hayataki kundi lingine liwapiku kibiashara, ama wanataka wateke soko wenyewe, tusubiri tuone.
Ana ushakaji wa karibu na FA