Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Makonda kaingizwa mkenge na ma drug dealers kundi moja limeamua kumtumia kama serikali kupambana na kundi lingine, na kama hajaingizwa basi na yeye ni mmoja wao, so anatumia cheo alichopewa kupambana na kundi hasimu, make siku zote makundi haya huwa hayataki kundi lingine liwapiku kibiashara, ama wanataka wateke soko wenyewe, tusubiri tuone.
Kwani ni series ya kikorea hii?? Kina Jumong?
 
Tunarudia yale yale....utawala wa Kikwete ulikuwa ni utawala wa kishetani kwani Kikwete na genge lake kwa makasudi tu walikuwa wanafumbia macho maovu yatendwayo na magenge yake. Wanasema Tanzania hatuna uraia pacha, mbona huyu jamaa anao na si yeye tu? Jibu, huyu jamaa ni mwana mtandao. Inawezekanaje mtu tena raia mgeni anaishi hapa Tanzania na kutesa ndugu zetu bila kuchukuliwa hatua, yaani tumekuwa Kenya mgeni kumyanyasa raia huku akichekelewa? Tanzania tuwe tunaruhusiwa kuua watu kama hawa, yaani mtu ampige risasi mtoto wangu alafu aachiliwe huru? No fucking way...lazima niue tena mgeni, huyo simwachii. Tanzania tulimuhitaji Magufuli kuja kuondoa uzezeta wetu kwani hata kama rais angekuwa Lowassa asingefanya haya afanyayo Magufuli kwa sababu angekuja na kulipizia visasi na hata huyo jangili Rostam asingemakamata kwani ni mshikaji wake.
 
Duuh huu uzi ulikuwa hai mwaka 2012 lakini umehuishwa tena 2017.

Mwosha huoshwaaaa; RC furukuta na hapo sasa!

Mimi ninavyofahamu mpira unadunda, sasa baada ya kudunda siyo wote wanaojua utaelekea wapi .
Inavyoelekea huu unaelekea kwake, sasa kazi kwake achague kutoa pasi, kutoa kona au abutue tu bora liende.
 
Tunarudia yale yale....utawala wa Kikwete ulikuwa ni utawala wa kishetani kwani Kikwete na genge lake kwa makasudi tu walikuwa wanafumbia macho maovu yatendwayo na magenge yake. Wanasema Tanzania hatuna uraia pacha, mbona huyu jamaa anao na si yeye tu? Jibu, huyu jamaa ni mwana mtandao. Inawezekanaje mtu tena raia mgeni anaishi hapa Tanzania na kutesa ndugu zetu bila kuchukuliwa hatua, yaani tumekuwa Kenya mgeni kumyanyasa raia huku akichekelewa? Tanzania tuwe tunaruhusiwa kuua watu kama hawa, yaani mtu ampige risasi mtoto wangu alafu aachiliwe huru? No fucking way...lazima niue tena mgeni, huyo simwachii. Tanzania tulimuhitaji Magufuli kuja kuondoa uzezeta wetu kwani hata kama rais angekuwa Lowassa asingefanya haya afanyayo Magufuli kwa sababu angekuja na kulipizia visasi na hata huyo jangili Rostam asingemakamata kwani ni mshikaji wake.

Mkuu kwa hiyo GSM wako huru mpaka sasa ni ishara ya nini? Uungwana?
 
Mkuu tujiulize hivi wasanii kama Diamond na Ali Kiba walitoa wapi milioni 20 rejareja za kuwapa GSM foundation? Hiyo ni njia mojawapo ya money laundering
Wachunguzwe hawa wasanii kama kweli pesa hizi walitoa kwenye pesa walioipata kihalali au ndo ile unapewa uonekane unanipa kumbe pesa za kwangu unazitakatisha. Sisi watu wazima tunaelewa sana mchezo huu

63bf910d7aba8e03342eb4c0a679be6c.jpg



1a0d926ad0c32eafe5a68374012514fd.jpg
sidhani kama shekh mkuu wa bakwata kama yupo sahihi na mafundisho ya dini yetu
Halafu yule sheikh mkuu wa Dar es Salaam ni rafiki kipenzi wa Makonda na kuna tetesi toka kwa baadhi ya waumini wakimtuhumu kwamba anapakapaka 'ambi' wakati Ray yeye anakunywa maji tu.
 
Akili za
Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.

Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
akili za Kalunguyeye wa Kike alie katika siku zake .
 
Duuh huu uzi ulikuwa hai mwaka 2012 lakini umehuishwa tena 2017.

Mwosha huoshwaaaa; RC furukuta na hapo sasa!
mh kiukweli watanzania tuamke
Mkuu tujiulize hivi wasanii kama Diamond na Ali Kiba walitoa wapi milioni 20 rejareja za kuwapa GSM foundation? Hiyo ni njia mojawapo ya money laundering
Wachunguzwe hawa wasanii kama kweli pesa hizi walitoa kwenye pesa walioipata kihalali au ndo ile unapewa uonekane unanipa kumbe pesa za kwangu unazitakatisha. Sisi watu wazima tunaelewa sana mchezo huu

63bf910d7aba8e03342eb4c0a679be6c.jpg



1a0d926ad0c32eafe5a68374012514fd.jpg
 
Na hapo je? Makabidhiano ya msaada wa Diamond kwenda GSM umesimamiwa na Makonda.
Nani anamfadhili nani na kwa njia gani?

d9e92bab7c09d330e22e17208b2d2466.jpg

d94eb5214edbfd3ce6f6cffdc43b7d01.jpg

0e14d9554c0c76d25c140c769c3ecfd5.jpg

df62bece812edf77128a90733e513854.jpg


Diamond katoa milioni 20 kwa GSM foundation alafu GSM kupitia duka lake la Babyshop linamfadhili mtoto wa Diamond
Mwenye macho haambiwi tazama
Michezo ya cheupe cheusi... Ila kama kawaida yetu wa Tz tutapiga makofi na kushangilia afu siku itapita
 
Kama kweli TISS wapo na mkuu anafanyia kazi, hawa jamaa watapotezwa.
Mkuu asikae kupambana na kuwakomoa watumishi wa umma na wapinzani tu.
Kuna watu wanafanya biashara haramu Ila wanabebwa na watu wake.
Hata kuwataja kina gwajima ilikuwa kuwaficha hawa.
 
Makonda kaingizwa mkenge na ma drug dealers kundi moja limeamua kumtumia kama serikali kupambana na kundi lingine, na kama hajaingizwa basi na yeye ni mmoja wao, so anatumia cheo alichopewa kupambana na kundi hasimu, make siku zote makundi haya huwa hayataki kundi lingine liwapiku kibiashara, ama wanataka wateke soko wenyewe, tusubiri tuone.
Dah,,,,,,Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo,,,, lakini Mungu anaona,,, evil will never prevail,,,,watatofautiana ndimi,,, watauana wenyewe,,,, na nchi itabaki salama,,,, people of God are praying,,,
 
Concrete proof ya cases ulitaja ipo? Na matukio mengine yoote? Honestly i want a better tanzania lakini basi hata uweke vidhibiti tuu, hear say can have its complications!
 
Back
Top Bottom