Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

majungu tu.. ndio maana waswahili hakuna bilionea mamaee
Sawa kuna uwezekano mkubwa yakawa majungu na kuna uwezekano mkubwa yakawa KWELI. Yote yanategemea mawazo na kufaidika kwa mtoa maoni na mhitimishaji. Ila ukweli utabaki kuwa Home Shopping Centre walijifilisi baada ya kuwa wanadaiwa kodi nyingi sana na TRA. Halafu wakaja upya na sura mpya na majina mapya na shughuli ZILIEZILE! Huo ndio uhalisia, siyo majungu.
 
Utajiri sio mchezo
 
Mkuu kifupi tu GSM watu wazito hao unaandika vitu vingi kama hujui kitu vile kumbe unaelewa,,..
Ubia wa hii kampuni na familia unajulikana toka kipindi cha HSC,,..
Hata huko yanga wamepelekwa na familia,
Na familia ndo iko nyuma ya hao jamaa usingesikia.wamefanyiwa kitu chchte kile ..
 
Tanzania hakuna tajiri mkweli hata MO mwizi mzuri tu ndo alivaa kanga na hadi leo yupo kimya.
 
M
Makonda = Sabaya
 
Kama Mpaka Mungu anamchukua Magufuli,GSM hajawahi kunasa mikononi mwa JPM

Hakuna mtu yeyote ataeweza mnasa GSM ni either ni real untouchable or else kuna Mengi

yanasemwa yasio ya kweli or else Kuna mengi makubwa ameifanyia hii nchi na anaendelea kuyafanya

or else haya yote niliyo yaandika hakuna hata 1 la kweli hivyo aachwe ale bata yawezekana hapa duniani

kaja kula bata TU maana kuna raia wameumbiwa raha kuanzia duniani mpk huko Mbinguni,wao ni raha tuuu.
 
Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?
Ndege wafananao huruka kwa pamoja, mharifu lazima amtetete mharifu mwenzie,mwenzio kaandika kwa ushahidi na vielelezo,na wewe mtetetezi wa waharifu jenga hoja ili kupinga vielelezo vyake,
 
hivi aliyeongelewa ni GSM au baba yake?
 
Hivi inawezekanaje mtu kufanya ouvu wote huu bila serikali kuchukua hatua?
Wanaoteswa nae kwanini nao wasimtende kama anavyofanya yeye?
Jino kwa jino na upanga kwa upanga!
 
Hivi inawezekanaje mtu kufanya ouvu wote huu bila serikali kuchukua hatua?
Wanaoteswa nae kwanini nao wasimtende kama anavyofanya yeye?
Jino kwa jino na upanga kwa upanga!
No Matter How BadAss You think you Are,

There's always BadAss who is Bigger than You.

Sponsored by Priyanshu Painyuli

Movie : Extraction (2020)

 
Walijaribu.....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…