Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Hawa lazima watakuwa WALIPA KISASI baada ya kuona malalamiko yao kuhusu hao jamaa wa Home Shopping Centre, wakati huo, na sasa GSM hayasikilizwi na vyombo husika vya kutoa haki; simply because of RUSHWA! Huu ni mfano halisi wa watu waliokata tamaa, hivyo wanajitoa mhanga kwa kusema LIWALO NA LIWE!
 

Silent Ocean!!!!Naanza amini maneno ya aliyeandika huu uzi...Kwamba kuna biashara nyeusi hapo.Na kuna viongozi wakubwa wanahusika haswa huyu Msomali makamu bara.
 
Mlebanoni karudishwa kwao Yemeni? [emoji1787][emoji1787].
Yaani Uongo mwingine hata ukivuta bangi huwezi kuusahau.

Kajipange upya. We km uliwahi kiajiriwa hapo ukaiba ukapata kichapo kitakatifu usilaumu mwenye mali.
Unakaa pugu, kazi kariakoo za nini? Si utafute huko huko kazi za mabucha ya viti moto?
Au japo Kachome mahindi.
Hutokosa buku jero.
Maisha popote.
 
Hii ishu ya kumwagiwa tindikali naikumbuka, kumbe ilikuwa ni kisasi aisee
 
H
Hii ni taarifa ya 2012, enzi za Rais gani wakati huo!? Muda wa matukio unaendana na zama za uongozi husika wa wakati huo na hivyo maamuzi yataendana na uongozi wa wakti na maslahi yao! Sioni ajabu kuwa ni UKIMYA MTUPU juu ya masuala nyeti na muhimu kwa usalama na uchumi wa nchi kama hayo YANAPOTEZEWA!
 
Duh!
 
Duh! Kuna Siri kubwa Sana ktk utajiri.Nakumbuka enzi za magufuli mfanyabiashara manji alipotajwa km muuza madawa ya kulevya wanaharakati walipoga sn kelele kwamba serikali ya magufuli ina chuki binafsi na haipendi wafanyabiashara!! Hii nonstori ya 2012 miaka mitatu nyuma kabla ya magufuli!!

GSM ana makandokando Sana ambayo ametoka Nayo mbali mno .Utajiri Una mambo mengi sn nyuma yake
 
Hahahaah
 
Wezi na matapeli hawakuwahi mpenda Magufuli.
 
Duh hii kama ni kweli basi hii kitu ina tishaa
 
Hii stori niliiosoma huku mwaka 2012.
Leo nimeisoma tena ina walakini sehemu
1. Tanzania hairuhusu uaria wa nchi mbili unasema jamaa ana utaia wa TZ na Saudi Arabia.

Mhmhmhmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…