Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Vipi ukimbilie kwenye kisasi?
We hujui kuwa kuna watoto wa zinaa wakiona mtu kafanikiwa wanatamani kufa kwa wivu?
Hujui kuna wale wenye mitaji ya dhulma na mali za wizi wamejaribu kushindana na huyu jamaa kibiashara wakala mitaji .unadhani watapenda kumuona anaendelea ?

Sasa usiseme kitu bila ushahidi. Utapigwa laana.
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Hivi kwanini mnamuacha anawafanyia unyama hivi?
Si yupo mtaani? dawa ni kumkodia vijana wa kazi wa Bgrn wamalizane nae mchana kweupe!
"jiwe kwa jiwe, nyundo kwa nyundo, tofali kwa tofali, jino kwa jino"
 
Tumetoka mbali sana.
 
Duuuuuuuuuuuuuh... Hatari sana... sijui nani kafukua hili kaburi..

Kutajirika Tanzania ni ngumu kweli kweli.. Ukiapata hela tu utapewa majina yote, wakati ukiwa unapambana watu wanakuangalia tu. Piga kazi GSM!!! Umewasaidia vijana wengi sana.

Kijana acha wivu, nawewe tafuta fursa tumia fursa utoke!!
 
πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’
 
Wewe ni=======kabisa, yaani hadi leo hujaweza ku connect dot ujue kuwa yaliyosemwa na mtoa mada miaka kumi na mbili iliyopita ilikuwa ni ukweli mtupu? Umesahau kuwa mara baada tu ya magufuli kuingia madarakani hawa mafedhuli walikimbia nchi? Unasahauje haraka kiasi hicho kuwa aliyewaombea msamaha kwa magu ni paul makonda? Umesahau pia kuwa baada ya makonda kuwasafisha walimpa zawadi kedekede hadi nchi ikatetemeka? Umesahau ofisi ya mkuu wa mkoa Wa dar ilifanyiwa renovation ya kufa mtu pamoja na kupewa gari jipya Ford ranger, nyumba nk? Umesahau kuwa baada ya kuruhusiwa kuendelea na biashara hapa nchini walilazimika kubadili jina la kampuni kutoka HSC na kuwa GSM? hawa watu ni maharamia mno, ni vile tu watanzania tumelalia ubongo huku tukitanguliza tumbo mbele, hawa watu walipaswa kuwa kwenye maximum security prison maisha yao yote, Mungu atusaidie sana.
 
Nisamehe Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…