kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
How?Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki
Twaiba hakuwa na hofu nae.
Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.
Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.
Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.
View attachment 2087549View attachment 2087550
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki
Twaiba hakuwa na hofu nae.
Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.
Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.
Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.
View attachment 2087549View attachment 2087550
Duka lake lilikua wapi na alikua anafanya biashara ganiUjinga tu
Huna hata hizo za kutapeliwaMimi siwezi kutapeliwa na watu wazembe na wenye vitambi kama hao, pesa niipate kwa tabu hivi ndio niwape hao watu tuwekeze? Msinizoee
Sio mara mmoja, kidogo kidogoWalikuwa na biashara gani ya kupeana 600M
Utter nonsense!Sio mara mmoja, kidogo kidogo
Matapeli wakubwa siku zote uwa wanatafta jinsi ya kupga picha wakiwa na viongozi ili kuaminika.Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki
Twaiba hakuwa na hofu nae.
Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.
Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.
Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.
View attachment 2087549View attachment 2087550
Umekariri kila biashara ni duka,nionyeshe duka la majizo ,millard ayo,mengi nkDuka lake lilikua wapi na alikua anafanya biashara gani
Hivi lazima kila kitu mpinge nyie chadema?Utter nonsense!
Yaani unapeleka kdg kdg,ya kwanza ustuki?ya pili ustuki?
Huyo ni muongo,yeye na mwenzake wame gang up ili waidanganye kitu serikali hasa taarifa za kodi.
Sisi tunawaona tu awamu hii ya wafanyabishara mnavyoingia kwenye system,soon yatajulikana mbivu na mbichi
Wapi nimeandika au nimejitambulisha kuwa mimi ni chadema!?Hivi lazima kila kitu mpinge nyie chadema?
Mtu kaeleza ametapeliwa a to z wewe unabisha tena.hajaomba msaada kwa mtu wala kasema tu iwe funzoWapi nimeandika au nimejitambulisha kuwa mimi ni chadema!?
Chadema ni chama/taasisi na mimi ni mtu/individual.
Utter Nonsense!