Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Kama unatazama km 2 huwezi elewa ila km unatazama zaidi ya km10 utajua ni uongo...uliopangwa bila ata ya kutumia akili.Mtu kaeleza ametapeliwa a to z wewe unabisha tena.hajaomba msaada kwa mtu wala kasema tu iwe funzo
Kama pia hujui hii ina maana gani kwenye masuala ya ulipaji kodi basi baki km ulivyo