Hiyo ya ardhi utajadili baadaye.Sasa hivi ni kuhusu kiwanda.Si ndio huyu juzi kuna video ilikua ikionyesha alishindwa kesi za ardhi alizodhulumu!
Inaonyesha alidhulumu ardhi kipindi kirefu hicho kiwanda pia kilikuwemo ndani ya hiyo ardhi au sivyo!Hiyo ya ardhi utajadili baadaye.Sasa hivi ni kuhusu kiwanda.
Ndio yeye but haimaanishi atendewe ukatili huoSi ndio huyu juzi kuna video ilikua ikionyesha alishindwa kesi za ardhi alizodhulumu!
Hapo bado unabahatisha.Tusubiri jibu sahihi.Inaonyesha alidhulumu ardhi kipindi kirefu hicho kiwanda pia kilikuwemo ndani ya hiyo ardhi au sivyo!
Kwamba hujui walikuwa wanapewa Maelekezo na nani au unajitoa ufahamu Kwa unafiki?..kuna umuhimu wa kujua Task Force walikuwa wakipewa maelekezo na nani.
..sikilizeni sakata la huyu Mfanyabiashara wa Arusha jinsi alivyonyang'anywa kiwanda chake.
View: https://www.youtube.com/watch?v=js9jyBLemIY
Ndio yeye au siyo?Hapo bado unabahatisha.Tusubiri jibu sahihi.
Wakija hao task force kujibu ndio tutapata minzani nzuri ya taarifa hivi sasa ni porojo tu za monoban askofu!Ndio yeye but haimaanishi atendewe ukatili huo
Zingatia pia kuwa ni monaban huyu huyu ndiye amepora eneo la railway station na kuligeuza kuwa car wash na parking ya malori, huyo mzee ni kibaka tu,alikuwa mbeba mikoba wa mzee ngoyai.Aliweka kiwanda chake kwenye kiwanda cha umma cha National Milling bila mkataba unaoeleweka.Kwa kutumia umaarufu wake ikawezekana.Ilipochunguzwa akapigwa chini ndio sababu haendi mahakamani. Uporwe kiwanja ulalamike kwenye media?
Hicho ndicho pia alichofanya kuvamia eneo la kijana wa Marehemu Titus Mollel alipoondolewa na Mahakama akakimbilia kwenye media kudai ameporwa.
Dhuluma tu huyuSi ndio huyu juzi kuna video ilikua ikionyesha alishindwa kesi za ardhi alizodhulumu!
Sshv ndio mnapigwa balaa. Nyie endeleeni kupondaMaagizo ya mpumbavu mmoja wa "ligasi"!
Kama hakuna anayepigwa risasi,kuporwa mali na ujingaujinga mwingine,inatosha sana.Sshv ndio mnapigwa balaa. Nyie endeleeni kuponda
Hapana.Kama hakuna anayepigwa risasi,kuporwa mali na ujingaujinga mwingine,inatosha sana.