kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Unaishi sayari gani!Kama hakuna anayepigwa risasi,kuporwa mali na ujingaujinga mwingine,inatosha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi sayari gani!Kama hakuna anayepigwa risasi,kuporwa mali na ujingaujinga mwingine,inatosha sana.
Kwamba hujui walikuwa wanapewa Maelekezo na nani au unajitoa ufahamu Kwa unafiki?
Hizo ndio kazi za Magufuli alizoziweza ambazo Makonda wenu anasema ndio role model wake hivyo nae atakuja kuwafanya vivyo hivyo.
Wengine walikuwa qanagawana zile za plea bargain nani aunde hiyo timu?..kuna ulazima wa kuunda Tume ya Uchunguzi ili kuwabaini wote waliohusika ktk Task Force.
..Jpm amekufa lakini waliokuwa wakitekeleza maagizo yake wapo mahali fulani ndani ya serikali yetu. Je, jambo hilo ni sahihi?
Wengine walikuwa qanagawana zile za plea bargain nani aunde hiyo timu?
CCM Huwa wanalindana
Hilo sio swali ni jibu..kwa hiyo Mama anawalinda Task Force.
..sasa kwanini akatuambia kuna 4R?
Hilo sio swali ni jibu