DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya majina ya akina Mulokozi yana DNA ya UTAPELI. Mnamkumbuka yule alikuwa anajiita Ben Mulokozi aka Young Millionaire enzi za Kikwette??

Alitapeli watu na hakuwahi kushindwa Mahakamani. Waliodhulimiwa wanachoka, ndiyo maana wanaamua liwalo na liwe
 
Kwa mtindo huu inabidi tuanze na kujihami .Ukikamatwa na mtu anayesema yeyw ni police halafu halafu hajitambulisha basi mchukulie ni jambazi muuaji anayekwenda kukuulia mahali pa sirini na kupoteza mwili wako.Bora kama vipi ufie peupe ambapo familia yako itakuzika kuliko kwenda kuuliwa na kutupwa halafu familia inabaki na majonzi makubwa ya muda mrefu wakiwa hawajui umekufa au uko hai.
 
G
Nadhani tubadilike. Hawa watu wanakuja mchana. Tuxhome Magali yao at the scene of kidnapping
 
Your browser is not able to display this video.

Tanzania siyo tena nchi ya amani kuweza kuishi .Tangu kuanza Demokrasia ya vyama vingi Tanzania imekuwa sio nchi ya amani kuweza kuishi ukiishi unaishi kwa wasiwasi ukilala usiku unalala chumbani kwa wasiwasi mpaka ukiamka asubuhi unashukuru Mungu. Kwani hujuwi ni lini utakuja kuchukuliwa na hao watu wasiojulikana.Wanyama wa porini wanaishi kwa amani kuliko Raia wa Ki-Tanzania Eee Mungu tulinde na maaduwi zetu wa ndani ya nchi yetu amin.
 
Spika wala hajali

Ova
 
Ningekuwa mwanaharakati at risk...

Popote ambapo nakuwepo kwa muda mrefu nahakikisha nina handcuffs - au mnyororo na kufuli lisilokuwa na funguo linalojiloki ukifunga - au lock ya baiskeli.

Wahuni wakija najifunga mguu kwenye kitu kama meza kubwa au nguzo. Kukudhuru watakudhuru tu. Heri washindwe kukubeba wakupigie uwanja wako wa nyumbani kuliko wakakupigie ugenini.
 
Kufuli itatandikwa chuma moja isambaratike kama punje za mchele
 
Mitanzania mijinga sana, inatekwa kama wanyama.

Mnashindwa kupambana na hao watekaji!
 
Mtu unauza magari ,kazana na biashara yako ,unageuka kuwa mwanaharakati huru,unatafuta nini?,ukipata shida unasumbua ndg zako bila sababu ,ndg wanaanza kutumia jasho lako kukutafuta ni hasara juu ya hasara mpaka upatikane mtaji umekata kama sio kuisha kabisa ,kila mtu afanye kazi yake anaye taka siasa aendelee sisi mashujaa wa mtandaoni tutapiga kelele kupotea kwake na emoji za machozi.VIJANA SIASA HAZILIPI KAMA NINGEJUA SIASA ZIKO HIVI NISINGEKUWA MWANASIASA " MAKONDA.Nimemaliza kunukuu.
 
Kufuli itatandikwa chuma moja isambaratike kama punje za mchele
Ni wazo la haraka haraka sekunde kadhaa. Ukilitilia maanani unaweza kuliboresha kama sio la kijinga sana.

Kuna alternative nyingine nimezitaja. Mradi tu uwapotezee muda na uhakikishe wanakumalizia hapo ndugu zako wapate taarifa na sio kukupeleka secondary location.

Wakishafika maana yake uhai wako unatakiwa. Ni suala sasa la ndugu wakuzike au wakutafute milele.

Heri wakupasulie hapo ulipo pamoja na kufuli lako waondoke zao.
 
Sema mpaka mtu anafuatwa namna hiyo na yeye tayari anajua wapi alipo kosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…