DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yote hayo ya nini kujiumiza kwa kutumia lock ya baiskeli. Ungelikuwa wewe ni Mwana harakati ningekwambia nitafute kwa wakati wako ili nikufanyie dawa wahuni wakikutafuta hawakuoni na wewe unawaona na hata majambazi au wahuni wakikujia nyumbani unajikuta umepotea ndani ya nyumba umetoweka hawawezi kukuona na wala kukukamata dawa zipo hizo .
 
Unaweza ukadhani kama taifa tuna janga la utaahira yaani mtu anakamatwa kwa nguvu na watu ambao hata gari haina namba mnaangalia tu vijana wa daisalamu ni sifuri kabisa
 
 
 
Hivi ni kwanini mtu anapochukuliwa na watu msiowajua msifuatilie hilo gari mpk mwisho mjue anapelekwa kituo gani iwe rahisi kufuatilia?
Pia kuna vitu vinashangaza sana. Yaani mfanyabiashara na mwana harakati unakuja kuchukuliwa kama kuku tu. Yaani unashindwa kutafuta mguu wa kuku ufanye kama Zacharia yule mkurya alivyofanya kule mkoani Mara. Unatekwa na kuuawa kipumbavu bila hata kujitetea?

Vijana mkishakuwa na mali na mkishaanza kujiingiza kwenye uanaharakati, hakikisheni mnakuwa na cha moto. Binafsi naanza mchakato wa kumiliki silaha. Iwe kihalali au kihalifu ila ni lazima niwe na cha moto. Upuuzi kama huo sikubali nife kifala.
 
Isije kuwa ni chuki ya kibishara na yaweza kuwa ni wafanyabishara wenzake wanatumia mwanya uanaharakati kutimiza azma yao kwake.
 
Hivi ni kwanini mtu anapochukuliwa na watu msiowajua msifuatilie hilo gari mpk mwisho mjue anapelekwa kituo gani iwe rahisi kufuatilia?
Hofu km kuna jamaa alitekwa enzi za mzee nankuja wazir akaja kusema atakua mtekwaji kaenda kwa mpenzi wake ctegemei mabadikiko yeyyote siku akitekwa mtt wa waziri naona zitaanza kidgo kukaa sawa twende tu
 
Hivi ni kwanini mtu anapochukuliwa na watu msiowajua msifuatilie hilo gari mpk mwisho mjue anapelekwa kituo gani iwe rahisi kufuatilia?
Utafuatiliaje gari halina namba na pia timing hufanyika haraka mno
 
Anaupiga mwingi Eti.

CCM itapiguwa kura na watekaji 2024 na 2025.
 
Hakuna utete wowote endelea kufanya shughuli zako usiingilie yasiyo kuhusu,hautapotea ,utajiongezea kipato ,utaishi kwa raha mustarehe
Kwamba wanaopotezwa wanakuwa wameingilia yasiyowahusu?
 
Kwamba wanaopotezwa wanakuwa wameingilia yasiyowahusu?
Ndg mbona wewe haujapotezwa ,kila mtu afanye kazi zake ,wanasiasa kweli kweli hawapotezwi ndio maana lema,mbowe ,lisu wapo etc
 
lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku ya saba leo baada ya kutekwa na kupotezwa.
Mimi mwenye 'D' mbili nishaelewa hapo kwenye mwanaharakati huru wa mitandaoni.....(hakuna uhuru wa kujieleza mitandaoni kwa ajili ya siasa)....mdomo koma
 
madini haya mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…