Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Habari janero.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1]Habari janero.
Hujitambui Acha watu to watoe mawazo yaoMleta mada ni vema nawe ukafa Ili ukaketi mkono wa kuume wa JIWE kule chato na mkaongoze vibwengo na siyo malaika.
Haya, rudia tena uvundo wako huo sasaAcha uongo ww, kama vp kalale kaburini Chato
AiseeeeeeChuki ni mbaya sana asee naona unavyoteseka kuona Samia akishangiliwa na wafanyakazi,,,,hovyo sana we jamaa learn to be positive.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mlijua kutoa majibuhuyo mtu wenu aliyetudumaza wafanyakazi miaka SITA bila nyongeza na bila kupanda daraja hatutaki kumsikia
Tunampongeza sanaSasa wewe ulitakaje?;Magu hakuongeza Mshahara tukamlaumu Mama Samia ameongeza Mshahara mnasema tusishangilie sasa binadamu tupewe kitu gani ndipo tuweze kufurahi??.Hata km unamchukia mama Samia lkn ktk hili apongezwe.
OoooohUnaonekana wewe ni zwazwa zaidi maana ongezeko Hilo limeangalia hali ya uchumi lakini zwazwa mmoja anaona haifai. Kama unaona kushangiliwa kwao sio sawa na wasionekane mazwazwa waongezee zako kama una uwezo
AiseeeHivi wewe Suzy Elias una kichwa au una cabbage juu ya shingo yako? Unaanzaje kubeza Tsh 30,000 wakati yule mungu wenu wa Chato mwenye kichwa kama pumbu ya punda hajawahi kuongeza hata Tsh 100/= kwa miaka 5.
Wasukuma tuacheni na Mama yetu Samia, wakati wenu wa kufanya UHAYAWANI ulikwisha 17/03/21
Hongereni sana watumishiBora kitu kuliko kukosa kitu
Hiyo 30,000 imesubiriwa miaka 7 inamana kama Mungu asingeingilia kati ingeenda mpaka miaka 10
Unajisikaje ewe taahira?Hivi wewe Suzy Elias una kichwa au una cabbage juu ya shingo yako? Unaanzaje kubeza Tsh 30,000 wakati yule mungu wenu wa Chato mwenye kichwa kama pumbu ya punda hajawahi kuongeza hata Tsh 100/= kwa miaka 5.
Wasukuma tuacheni na Mama yetu Samia, wakati wenu wa kufanya UHAYAWANI ulikwisha 17/03/21
Najisikia kama mumeo anavyojisikiaUnajisikaje ewe taahira?
Acha uongo ww, kama vp kalale kaburini Chato
Eti ni 23.3% au 2.33%? Mwenye lile tangazo la serikali kupandisha mishahara anioneshe ili nithibitishe. Hesabu za decimal ngumu kwangu.
Benson Mramba katika umbwiga wakoKwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.
Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.
Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.
Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.
Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?
Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k
Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.
Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.
Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi
Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone