Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Kwahiyo unamaanisha tunarudi katika Ujamaa ?!Biashara za watu
Kupitia uhujumu uchumi.Mtumishi ukikutwa na Mali nyingine kupitia TIN namba ni lzm itaifishwe sera za ujamaa mtumishi inatakiwa uwe masikini.Hata Kama umefanya ujasiliamali kihalali still Hadi waje wakuelewe sio kesho