spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Wadau
Mfanyakazi wa ndani anahitajika.
Uzoefu: Two years experiance
Jinsia: Msichana
Elimu😀arasa la saba hadi form IV
Dini: Awe mkristu anayekula mkuu wa meza
Umri: 15-24years
Location: Mwanza-Tanzania
Ukubwa wa familia: Baba,Mama na Watoto wawili(watoto wanasoma)
Salary: 50,000 kwa Mwezi
Renumerations: Atapatiwa nauli ya kwenda na kurudi kwao(popote TZ) mara moja kwa mwaka
Accomodations: Ataishi kwa muajiri kila kitu bure ispokuwa atakuwa anajinunulia nguo zake
Salary Review: Atapandishiwa mshahara wake kati baada ya mwaka kati ya 10,000-15,000/=
mwenye kuhitaji aniPM.
Mfanyakazi wa ndani anahitajika.
Uzoefu: Two years experiance
Jinsia: Msichana
Elimu😀arasa la saba hadi form IV
Dini: Awe mkristu anayekula mkuu wa meza
Umri: 15-24years
Location: Mwanza-Tanzania
Ukubwa wa familia: Baba,Mama na Watoto wawili(watoto wanasoma)
Salary: 50,000 kwa Mwezi
Renumerations: Atapatiwa nauli ya kwenda na kurudi kwao(popote TZ) mara moja kwa mwaka
Accomodations: Ataishi kwa muajiri kila kitu bure ispokuwa atakuwa anajinunulia nguo zake
Salary Review: Atapandishiwa mshahara wake kati baada ya mwaka kati ya 10,000-15,000/=
mwenye kuhitaji aniPM.