Mfanyakazi wa ndani raia wa India anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga

Mfanyakazi wa ndani raia wa India anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye.

Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye sheria mkononi sana yenye mafundisho binafsi ambayo yenye chuki kuanzia ngazi zote bila kuweka utaratibu wa suluhu.

Mfanyakazi wa ndani anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga
==================

Mwanamkemmoja raia wa India aliyekuwa mfanya kazi za ndani huko Umoja wa Falme zaKiarabu amenyongwa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtoto wa waajiriwake.

ShahzadiKhan, aliyefanya kazi kwa wanandoa raia wa India, alinyongwa mwezi uliopita,kulingana na serikali ya India.

Kwamujibu wa nyaraka za mahakama ya Abu Dhabi, Khan alimtoa roho mvulana huyo kwakumnyima pumzi, lakini daktari aliyetoa ushahidi kwenye kesi hiyo hakuwezakuthibitisha hilo kwa vile hakuruhusiwa kuifanyia uchunguzi maiti.

Familiaya Khan inasisitiza hakuwa na hatia na kusema mtoto huyo wa miezi minne alikufakutokana na chanjo isiyo sahihi siku ya kifo chake. Wanasema Khan hakupata"uwakilishi wa kutosha" wakati wa kesi yake.

 
Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye.

Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye sheria mkononi sana yenye mafundisho binafsi ambayo yenye chuki kuanzia ngazi zote bila kuweka utaratibu wa suluhu.

Mfanyakazi wa ndani anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga
==================

Mwanamkemmoja raia wa India aliyekuwa mfanya kazi za ndani huko Umoja wa Falme zaKiarabu amenyongwa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtoto wa waajiriwake.

ShahzadiKhan, aliyefanya kazi kwa wanandoa raia wa India, alinyongwa mwezi uliopita,kulingana na serikali ya India.

Kwamujibu wa nyaraka za mahakama ya Abu Dhabi, Khan alimtoa roho mvulana huyo kwakumnyima pumzi, lakini daktari aliyetoa ushahidi kwenye kesi hiyo hakuwezakuthibitisha hilo kwa vile hakuruhusiwa kuifanyia uchunguzi maiti.

Familiaya Khan inasisitiza hakuwa na hatia na kusema mtoto huyo wa miezi minne alikufakutokana na chanjo isiyo sahihi siku ya kifo chake. Wanasema Khan hakupata"uwakilishi wa kutosha" wakati wa kesi yake.

Kwani amenyongwa kwa sheria za kiislam au amenyongwa kwa sheria za UAE?
Au nchi zenye sheria za kunyonga ni za kiislam tu?
Hivi siku hizi mbona jf imejaa vilaza?
 
Kwani amenyongwa kwa sheria za kiislam au amenyongwa kwa sheria za UAE?
Au nchi zenye sheria za kunyonga ni za kiislam tu?
Hivi siku hizi mbona jf imejaa vilaza?
Ndio kazi ya Wachungaji na milokole ya kupotosha watu na kufanya propaganda uyo Dada ata kwetu TZ Angenyogwa kauwa yeye na cctv zilimnasa. Mizwazwa zigo la Nnya!!!!
 
Ndio kazi ya Wachungaji na milokole ya kupotosha watu na kufanya propaganda uyo Dada ata kwetu TZ Angenyogwa kauwa yeye na cctv zilimnasa. Mizwazwa zigo la Nnya!!!!
Haya majaa yamejaa chuki dhidi ya waislam sijui tatizo ni nn?
 
Back
Top Bottom