Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
- Thread starter
-
- #21
Kama kweli hili limetokea huyu mtu hata credentials zake za ubalozi zinatia shaka, tutaanza kufikiri kwamba kwa kuwa mtu wa ubalozi yuko hivi basi ni representative wa wa-Canada, which is not fair.
Huyu anaweza ku-invoke diplomatic immunity kirahisi, lakini ubalozi wa Canada kama unajua whats good for them na hautaki kuonekana unafuga watu washenzi ni bora wangemrudisha kwao.
Unfortunately watu wa ubalozi kuwashitaki ni tabu sana, hasa kwa kesi kama hii.
Kaka mkuu ...Punguza chuki !! Subiri kwanza rufaa zidi ya Zombe, wakishinda tena ndipo tutatoa hukumu kwa Mzungu !!! Jibu lipo kwenye Mabano !!!!!
Kama kweli hili limetokea huyu mtu hata credentials zake za ubalozi zinatia shaka, tutaanza kufikiri kwamba kwa kuwa mtu wa ubalozi yuko hivi basi ni representative wa wa-Canada, which is not fair.
Huyu anaweza ku-invoke diplomatic immunity kirahisi, lakini ubalozi wa Canada kama unajua whats good for them na hautaki kuonekana unafuga watu washenzi ni bora wangemrudisha kwao.
Unfortunately watu wa ubalozi kuwashitaki ni tabu sana, hasa kwa kesi kama hii.
Consular and Diplomatic Immunity under the Vienna Convetion [ambayo Tanzania Imeisaini na Bunge Kuipitisha kama sheria mama] inamlinda huyo mtuhumiwa dhidi ya mashtaka yote ya jinai. Membe et al wanatakiwa kumtangaza huyu jamaa 'persona non grata' na kupewa masaa 24 arudi kwao. Nachelea kusema hiki kitu kinaweza kwisha kimya kimya[rejea wale wanajeshi waliomuua dada wa kitanzania kule Kunduchi Beach jinsi suala lake lilivyoishia kienyeji enyeji]
Sometimes 'njaa' na 'umimi' vinatuponza sana watz. wake up tz!
hii habari imenipandisha hasira sana. kama kuna mtu ana namba ya ubalozi wa canada aiweke hapa haraka. itabidi niongee nao kwa kiingereza. yaani nimekasirika mpaka nimemkosa teke sista wake waif. sheenz sana hawa!
Ushahidi wa mate kwenye fulana na Jerry utakuwepo kweli baada ya masaa machache!?