macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kuna mtu anakaa dukani haiba yake inaogopesha wateja. Tukuli tu kuwa binadamu tuna haiba tofauti tofauti. Kuna watu wako ''riendly'' kama wanavyosema wana umombo, kuna watu wanaogopesha na ukiwaona unakuwa huko comfortable kuongea nao. Nje ya mada: Kuna wanawake wanapotembea wanakuwa approached zaidi ya wengine japo japo kwa sura au umbo ni wabaya. Siri ni kuwa wanaume wanaangalia ni yupi amekaa kirahisi rahisi zaidi.Nimuonee wivu mdogo wangu? Khaaa
Alie kuambia Feature inatengenezewa Chuoni ni nani?Isije ikawa ndio sababu ya wewe kumzuia asiende chuo, ukaona bora akae hapo hapo golini kuliko kwenda chuo kutengeneza future yake.
Mungu anakuona.
Kila mtu anaweza kufanya biashara ila siyo kila mtu anaweza kufanya biashara yoyote.Ndiyo maana mimi huwa naamini sio kila mtu anaweza fanya biashara. Biashara ni kismati skills na uzoefu (sio mtaji). Kama huna hizi sifa achana na kufikiri kufanya biashara.
Wengi wanauza vifaa vya magendo, hivyo wanavinunua kwa bei nafuu na kuviuza kwa bei ya soko.Gien Banks mkuu tolea maelezo kwa nini biashara za ujenzi materials na vile vile vifaa vya umeme na spares za magari zinalipa hadi walioko huko kuwa millionaires, why isiwe kwa biashara za chakula au nguo. Tolea maelezo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanaangalia mteremkoKuna mtu anakaa dukani haiba yake inaogopesha wateja. Tukuli tu kuwa binadamu tuna haiba tofauti tofauti. Kuna watu wako ''riendly'' kama wanavyosema wana umombo, kuna watu wanaogopesha na ukiwaona unakuwa huko comfortable kuongea nao. Nje ya mada: Kuna wanawake wanapotembea wanakuwa approached zaidi ya wengine japo japo kwa sura au umbo ni wabaya. Siri ni kuwa wanaume wanaangalia ni yupi amekaa kirahisi rahisi zaidi.
Hapo ni sawa kabisa na ishu iko hivo.Wengi wanauza vifaa vya magendo, hivyo wanavinunua kwa bei nafuu na kuviuza kwa bei ya soko.
Hii nilishawah iona,dogo baada ya kupata likizo kaenda kwa braza,hakurud tena shule,ila baadae baada ya kuwa mkubwa alimfungulia duka lingine la dogoIsije ikawa ndio sababu ya wewe kumzuia asiende chuo, ukaona bora akae hapo hapo golini kuliko kwenda chuo kutengeneza future yake.
Mungu anakuona.
Jiajiri,vinginevyo utaitwa tuAisee nayachukia sana haya maneo Mfanyakazi wangu, Kibarua wangu, Kijana wangu wa kazi nk
yaaani umeongea point sawa ila....nje ya madaHamna usidanganyike....biashara ni usimamizi.
Kitu pekee nitakuambia mbinu na maaujanja yeyote utayapata ukisha anza fanya hyo biashara...biashara zina siri nyingi sanaa kwa kawaida ukianza utaona kwa juu juu faida / profits zake ni ndogo sanaa ila ukiingia kuna corners nyingi sana utajifunza hasa ukisimamia biashara yako mwenyewe pale mwanzo mwanzo.....utajikuta unakua mbunifu on the process.
Biz nyingi sana zina siri nyingi sanaa.....mfano: kuna stock za bei rahisi kutoka kwa watu wenye shida....unakuta kuna issue unaitiwa kitu flani sehem flani utapata bei
Ya kitonga na still unakuja uza at the same market price at ur shop na hata kama mzigo flani huna watu wana dalalia hadi wafanya biashara wengine ipo sana hii kwa biashara za mjini (mambo ni mengi sana, huwezi yajua hadi uwe kwenye game stahimili kama mwaka hivi utajifunza mengi sana)
One thing i gurantee you....ogopa sana watu wanaouza material za ujenzi / vifaa vya umeme / spare za magari with significant stock ni multi - millionaires waone hivi hivi tu.
Biashara ni mtandao. Amini nakuambia.